EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hongera!Karibu mana ministry,najivunia kuwa sehemy ya huduma ya mana/mtenda kazi katika huduma yake najivunia kupitia huduma yake nimekua kiimani,na naendelea kukua katika jina la Yesu!
✅🙏Bwana Yesu Asifiwe jamani nampendaga sana Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege kwanza hana Scandals ,Pili anampenda Mungu kikweli kweli tatu hana mafundisho ya uongo nne hajawahi kuchuja tangu nipo mdogo miaka 5 naenda kwenye mahubiri yake anakuja kuhubiri pale Upanga mtaani kwetu Lugalo mpaka leo alafu yupo hivyo hivyo!
Alafu huyu baba hazeeki jamaa doh kila siku yupo hivyo hivyo kama Malaika
watumishi wengine wangejifunza toka kwa huyu baba siri ya kumtumikia Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na Mwalimu Christopher Mwakasege AMEN
Amina asante sanaHongera!
Uko wapi? Ni mwanakamati wa kudumu au ni mhudumu nyakati za semina?
But all in all, hongera kwa kuamua kumtumikia Mungu.
Watumishi wa kutoka Mbeya wote wezi tu wanatumia ndumba nangaiMmmh! Mie sina neno na huyu ila tatizo langu ni hyo asili yake karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya
Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!
Kwani na wewe ni "mtumishi?"Watumishi wa kutoka Mbeya wote wezi tu wanatumia ndumba nangai
AISEEWatumishi wa kutoka Mbeya wote wezi tu wanatumia ndumba nangai
BORA UMEULIZAKwani na wewe ni "mtumishi?"
hana kanisaAmenisaidia kupata mke mwema kutokana na mahubiri yake.Ni msomi,halazimishi uhamie kanisani kwake
Nuru itakuwa ilianzia huko halafu ndiyo ikasmabaa kuelekea sehemu zingine.Mmmh! Mie sina neno na huyu ila tatizo langu ni hyo asili yake karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya
Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!