Akikubaliwa atakuwa amepata kitu cha ukwelikwa hiyo jamaa amepata au amepatwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hafikirii kuwa labda atakuwa na mandingo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani amekuambia hivyoBuana mm sitaki ujue nimeambiwa niache dharau usinirudishe huku tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani amekuambia hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poleHahaha mwenye thread nilivyokujibu kuhusu kiben10
Neighbour[emoji23]husahau?!Jibu lisichache. Neighbour nipe mrejesho
Nitaanzia wapi kusahauNeighbour[emoji23]husahau?!
Shhhhh..ntakunon'gonezaa[emoji6]Nitaanzia wapi kusahau
Nimekwisha na UKIMWIShhhhh..ntakunon'gonezaa[emoji6]
Tafadhali mpokee mateka wako mumuJamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...
[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Jirani kumbe mambo ndio mazito namna hiyo [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Nimesikitika kaburi limefufuliwa jirani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jirani kumbe mambo ndio mazito namna hiyo [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]