Nampenda Mumu

Nampenda Mumu

Mimi nampenda dada mmoja humu anaitwa Demi, siku aliyofiwa na baba yake ndio siku nliyogundua nampenda maana zilipoletwa taarifa humu nlipatwa na majonzi yalipotokea siyajui. By the way, sina tamaa wala hope ya hata kukutana nae siku moja ndio maana hata PM sijamfuata nimeamua tu nipotezee
 
Mimi nawapenda mdada mmoja anaitwa yna4 na mwingine anaitwa bbade, yani nikionaga posts zao tu nakuaga kama chizi
 
Mimi nampenda luckyline, swaga zake za mamtoni.
 
Jamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...
Tafadhali mpokee mateka wako mumu
 
Back
Top Bottom