naskia jinsi ulivo hata khanga haikuenei, naskia unaonganisha mbili
ooooh aiseeeeh,,,Hii kweli kabisa
Naona umeamua kumuita shem darling
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona umeamua kumuita shem darling
Utaacha lini uchochezi?
shoga angu umeadimikaNaona umeamua kumuita shem darling
Utaacha lini uchochezi?
Hahahahaa uchochezi wa hali ya juu huu,.Naona umeamua kumuita shem darling
Utaacha lini uchochezi?
Duh[emoji28]Hii kweli kabisa
Hello mumu umemkubali mkaka wa watu au?nataka nile biriani mieDuh[emoji28]
Hi,.biriani njoo ukule tuu home kwetu dia,.Hello mumu umemkubali mkaka wa watu au?nataka nile biriani mie
Khaaah [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]me namuachia Shunie akiamua kuniuza sawa kunipiga mnada sawa kunitoa bure pia sawa..
hata kwa selebonge lipo mumu usiwe mkatili lo mwenzako kaja mazima mazimaHi,.biriani njoo ukule tuu home kwetu dia,.
Acha tuu shogaa mambo mengi sana jamanishoga angu umeadimika
Uwiii,..Wifi jomoniii[emoji85][emoji85]Khaaah [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Vipi lakini mywii umeshatoa majibu?Hahahahaa uchochezi wa hali ya juu huu,.
Wifi hapana jamanii,..si unamjua mpenzi wa moyo wangu lakini,.[emoji85]Vipi lakini mywii umeshatoa majibu?
Au ndio mambo ya pm moja kwa moja
Shem bebe Miller atapata shida sana, sasa mbona huweki wazi kama umekubali au umekataa?Wifi hapana jamanii,..si unamjua mpenzi wa moyo wangu lakini,.[emoji85]
Sijakubali wifi,. Am already occupied[emoji28][emoji28]and you know'dat wiwo...Shem bebe Miller atapata shida sana, sasa mbona huweki wazi kama umekubali au umekataa?
Au ndio wajishebedua shebedua kwanza? [emoji136][emoji136]
Kama Diamond vile..[emoji442] Nenda kamwambie...
Am booked jomoniii[emoji23][emoji23]hata kwa selebonge lipo mumu usiwe mkatili lo mwenzako kaja mazima mazima
nn weweOh my Gawd!!!....[emoji85][emoji85]