Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
nmechka sanaGuys why naonekana wa ajabu for some people who thinks they`re smarter,huu sio upuuzi,this shit is real,and here ain`t no multi ID`s,simjui huyu mwanamke,but i truly got feelings for her,you people understand an respect my feelings....nipeni support nimpate,acheni figisu na wivu wa kike guys,is it not good to love someone thats why you hate?Mumu
nampenda kweli kwa taarifa yenu,hay tuendelee na maoni sasa,hasa maoni chanya including modern tactics zitakazonifanya niung`oe huu mbuyu!
avatar yakonini kimekuchekesha mkuu wangu?
Isiishie hapa. Mupeanejamani, Archduke, unajua nakupenda right? Na sitachoka kukwambia nakupenda, yan hata maneno mengine ya kusema naona yameniisha Mungu akupe umri mrefu nizidi kufurahia uwepo wako maishani mwangu, i love you more
Naona unasogelea anga sio kabisa mara ya mwisho kulima heka kumi ni linii?? [HASHTAG]#Demiss[/HASHTAG]Mm kuna mdada anaitwa demiss walah popote ulipo sikia kilio chang
Waoooh asante kwa kunipenda jaman wacha nihifadhi manenoMm kuna mdada anaitwa demiss walah popote ulipo sikia kilio chang
Mimi pia nakupendamooWaoooh asante kwa kunipenda jaman wacha nihifadhi maneno
Hivi unanipendaga sana eeeh ila I'd yako ya zaman ni ipiMimi pia nakupendamoo
MnoooHivi unanipendaga sana eeeh ila I'd yako ya zaman ni ipi
Jikaze kiume umtokeeMimi nampenda dada mmoja humu anaitwa Demi, siku aliyofiwa na baba yake ndio siku nliyogundua nampenda maana zilipoletwa taarifa humu nlipatwa na majonzi yalipotokea siyajui. By the way, sina tamaa wala hope ya hata kukutana nae siku moja ndio maana hata PM sijamfuata nimeamua tu nipotezee
Shocked baba swalehe[emoji23]nn wewe
Nimekwisha na UKIMWIShocked baba swalehe[emoji23]
Hahahahaa[emoji23][emoji23][emoji23]Nimekwisha na UKIMWI
Samahani mleta mada...
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Mdomo wangu umebaki wazi kabisa....Hahahahaa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Mdomo wangu umebaki wazi kabisa....