Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Mfyuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]kalagha-bao[emoji125][emoji125][emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi siondoki hapa mpaka nione jibu
[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi siondoki hapa mpaka nione jibu
la haulaMkuu ila mumu ni dume![emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mfyuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]kalagha-bao[emoji125][emoji125][emoji125]
Inshaallah, I love youBabe, sitachoka kukupenda daima muhim tuvumiliane tu huku tukiomba Allah atupe umri mrefu zlna afya zetu ziwe njema honey
[emoji23][emoji23][emoji23]mxiewwwwwMkuu ila mumu ni dume![emoji53][emoji53][emoji53]
Pale bibi anapopendwa!![emoji28][emoji28][emoji28]jamani, Archduke, unajua nakupenda right? Na sitachoka kukwambia nakupenda, yan hata maneno mengine ya kusema naona yameniisha Mungu akupe umri mrefu nizidi kufurahia uwepo wako maishani mwangu, i love you more
Ms chura mambo?[emoji28][emoji28][emoji28]Nikajua uko kanisani
Acha wivu huko, ndio kanipenda hivohivo na ubibi wangu etiPale bibi anapopendwa!![emoji28][emoji28][emoji28]
nakazia hapoHii couple itapendeza
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe ni dumee[emoji124]
Utaje nini tena babe, unanipa presha tu hapa nawaza ulitaka kusema nn, halaf bado unakunywa chai eehInshaallah, I love you
bado kidogo nitaje, nishazoea vibaya babe
ila ninachowapendea wabibi mko very straight,hakuna kubali-kataa wala bla blaa za hapa na pale,ndiyo maana wewe umekubali fasta siyo kama mumu anazuga!!Acha wivu huko, ndio kanipenda hivohivo na ubibi wangu eti
ahahaha eti wivu sasa kwangu au???Acha wivu huko, ndio kanipenda hivohivo na ubibi wangu eti
woyoooooooo woozer wozer woooozer[emoji23] [emoji23] [emoji23] mrs lubedeOh my Gawd!!!....[emoji85][emoji85]
Ongera kwa kufunguka mkuu ila umesahahau vipengele muhimu. Unampendaje sasa? Kama rafiki au mpenzi.Jamani kusema kilichopo moyoni ni nusu ya ahueni hata kama haujakipata,kuna mwanamke humu anaitwa Mumu,kwanza jina tu huwa linanisismua since day one naliona,uchangiaji wake,hata akiongea pumba naona kapatia na ninafurahia,hivi hisia nazo ni ugonjwa au?
Mumu popote ulipo naomba utambue kuwa nakupenda,je kuna yeyote ana mtu wake anampenda humu JF na anahisi hawezi kumpata au kumwambia ukweli?
kama kuna muhanga mwingine kama mimi hapa ndio sehemu ya kujiripua,hauwezi kujua,may be leo ndio siku yako...i love u Mumu...