Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Inahuzunisha na kufurahishaπππhumu hutakiwi kuwa na mpenz cute....utaumia kilasiku
Mbona kama unamsema Analyse ??Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
π€£π€£π€£π€£π€£Aposto tena
Hapana ni mtu huyu ananiringiaUmeshachakatwa na kuachwa tayari, ukuje huku nikupoze na kiepe yai
Nani mwingine anapenda mashangazi zaidi ya aposto?π€£π€£π€£π€£π€£Aposto tena
Hahaaa walahi ni zamaniFuta kichwa cha uzi uandike "jamanii upweke utaniua"
To yeye huyo S ni legend ama nani??π€£π€£π€£Sitaki kukumbuka nilivyoteseka na S....anawanawake jf na robo...ππππ...haya mambo haya bhana
Ndio nani??Nani mwingine anapenda mashangazi zaidi ya aposto?
Huyu hanamsimamoπππhumu hutakiwi kuwa na mpenz cute....utaumia kilasiku
Inaumiza kweli na shida ni hatufahamiani ila kwakweli humu watu wanaumizana sanaSitaki kukumbuka nilivyoteseka na S....anawanawake jf na robo...ππππ...haya mambo haya bhana
AmeniringiaIla jamii forums π
Sana,sana...ndo maana inabidi maisha yetu yasiwe humu...tuyaache kwa home...humu burudani tuInaumiza kweli na shida ni hatufahamiani ila kwakweli humu watu wanaumizana sana