Mi sampuli zangu dogo dogo[emoji4]Hisia zangu zinaniambia ni ww tu [emoji28][emoji28]
🤣🤣🤣 ngoja tusubiri jibu kutoka kwa Analyse tujue kwa nini kampiga kibuti mrembounashindwa nini mzee na swaga zako 😂
Hakuwahi kutangaza anampenda Mungu pekee..!!! Afu mtu bikra hana afu anasema anampenda Mungu pekee.Kwani bikra Maria alipataje mimba?
Alikupa ww hyo bikra hadi useme bikra hana?Hakuwahi kutangaza anampenda Mungu pekee..!!! Afu mtu bikra hana afu anasema anampenda Mungu pekee.
Nimekosa mimi, nimekosa sana naomba unisamehe LovelovieAlikupa ww hyo bikra hadi useme bikra hana?
Why?
Hivi unajua sio lazima iwe kweli?? He kama nataka kufurahisha watu tu tuchart nakufurahiHuyu Ana majanga Kila siku.
🤣🤣🤣🤣🤣mjukuu wa HitlerSipo mkuu
Jamani mie huyoo🤣🤣🤣🤣🤣mjukuu wa Hitler
Tuna respond kulingana na content iliyopo. Behind the scenes mambo huenda ni tofauti.Hivi unajua sio lazima iwe kweli?? He kama nataka kufurahisha watu tu tuchart nakufurahi
Ndo inafananaje sasa?Mwone sura mbaya kama karatasi la kutengenezea sonyo
Msiamini kila kitu aiseeTuna respond kulingana na content iliyopo. Behind the scenes mambo huenda ni tofauti.
Nafanyeje sasa na akati bikra sijapewa mimi..!!??Wacha weeeh.