BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
unataka kumroga, mbona kama unatishia nyau??ila ataona
Like what???Badilisha priority yako katika mahusiano yetu, n i will love you forever.
Kupenda vizinga.Like what???
Ndio Nini vizingaKupenda vizinga.
Aina fulani hivi ya madini yanapatikana chamwino.Ndio Nini vizinga
Wacha we[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa humu waongo sana Yani ukiwaona wanachat utasema watu kumbe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π«’π«’π«’ nilifikiri umenitaja dahTena katoka kuomba Ile dawa inaitwaje ππ
National Anthem ππ
πππAuntπ«’π«’π«’ nilifikiri umenitaja dah
Ndio aunty, nikasema moyoni na mie nimefikiwaπππAunt