Nampenda mwanaume mkorofi kiana....ni kweli?

Wewe bado boys wanakufaa wewe.

Hivi Sugu ni bad boy?

Yeah! ...................................................................................................................................................
 

Who cares?
 

Thank you Miss. Ninalichukua hili la mwisho kwa ajili ya kulifanyia kazi.
 

wewe pumbafuuuu!...yaani umeniharibia siku kwa mitazamo yako hasi juu ya wengine...anyway iam a real man_trust me
 
ushindwe na ulegeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Acha Jazba Marytina. Nilitaka tu kujuzwa maana ya neno "mstaarabu" katika muktadha wa mchango wako kuhusu aina ya wanaume unaowapenda.
 
Nimependa mchango wako Miss Judith. Tuweke Mungu mbele katika matendo yetu. Lakini hilo la "Kuchapa mtu makofi" kwa ajili ya utukufu wa Mungu....ninaheshimu mawazo lakini sikubaliani nalo. Hofu yangu ni pale "wanyanasaji by nature watapokuwa wanatumia kivuli cha Mungu kunyanyasa na pengine hata kuua kwa jina la Mungu.
 
mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe..........................
 
Kuna siku tuliliongelea hili sana...asilimia kubwa ya wadada walisema wanependa wanaume ambao sio wapole kupitiliza....

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/133266-upole-14.html#post1956682
 

mpendwa MAMAMIA,

hilo la kuchapa mtu makofi kwa ajili ya utukufu wa Mungu ni neno la kufikirisha, kumbuka Bwana Yesu alichapa watu mijeledi katika kurudisha heshima ya nyumba ya Baba yake, au zingatis kuwa hata Bwana wetu alipoinuliwa, alituvuta wote kwa Mungu kwa ajili ya utukufu wake. may be that is too extreme for this statement, lakini kwa kifupi, kila tulifanyalo kwa neno au kwa tendo, tufanye katika jina la Bwana Yesu tukimshukuru Mungu Baba kwa Yeye (Wakolosai 3:17)

ubarikiwe sana mpendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…