Ntiliabhose
Member
- Dec 31, 2012
- 78
- 38
inabidi uupende hadi mkorogo wake anaojichuna
Nitakusuta.
huyu dada anajua kutangaza sana.
huyu dada anajua kutangaza sana.
kile ni kipaji alichopewa na mungu.
hata mtu uwe na phd ya utangazaji huwezi kumfikia yule dada.