Ntiliabhose
Member
- Dec 31, 2012
- 78
- 38
Jaman huyu anayejiita kichuna wa times kiukweli ananikosha ile mbaya haswaa katika utangazaji wake Yaani anaflow na spidi ya ajabu katika kuongea, na sijui nimfananishe na mtangazaji gani wa kike,najua atakuwa anamapungufu yake yanayoonekana bt hayanihusuuu.kizuri kisifiwe.
