Nampenda sana Hoyce Temu, naipenda roho yake

Chakula ya wakubwa tu huyo Wewe..Kama unataka tukutajie listi hapa ya watu wake.
Usishobokee tu ovyo ovyo.
 
Ha ha ha mkuu bana usinichekeshe. Ukarimu na roho safi ya mtu umeipimia kwenye Mimi na Tanzania? Tulia na mke wako
 

Ukiusikia upande wake wa pili ( Side B ) unaweza ukatamani umchukie Milele labda pengine hadi mtakapoona ama Jehanam au Paradiso
Daah..kumbe na yeye ana mambo mengi tofauti na tunavyomfahamu wengi?

Tena ya hatari na ya kutisha kama siyo hata ya kusikitisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…