Haha ila kweli Sky Eclat yupo vizuri saana kwenye stori huyu jamaa akikubaliwa atanenepaMkuu huyo ukiwa naye nadhani hutaboreka kwa stori. Maana mda wowote anaweza anza kwambia "Rafiki wa shemeji yake ameachishwa kazi mumshauri...., mara shosti yake kaolewa na jamaa ana kibamia"
Umejuaje mkuu?!Huyu ni mmama
Fuatilia mada zake na comments zake mkuu,kuna threads zinazozungumzia mambo ya enzi za mwalimu,huwa anachangia huku akionyesha kuwa alikuwa mkubwa anajitambua.Umejuaje mkuu?!
Wewe dogo huyo n shem wako, miaka 2 tangu nichukue mzigo huyo officially... kwaiyo nafunga mjadala huu
Sent from my Iphone 7 using Jamiiforums mobile app
Joseverest umejihami kabisa unaiogopa timu roho mbaya ikikuanzia mashambulio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapenda avatar yake au?? Kama unadhani yule wa kwenye avatar ndio halisi basi pole
NB; Sky Eclat sina bifu na wewe hahaha
Joseverest umejihami kabisa unaiogopa timu roho mbaya ikikuanzia mashambulio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc shunie