mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Wandugu habarini jamani,
Kiukweli nikiona comment au uzi wowote kutoka kwa huyu mdada anaejiita Sky Eclat huwa najisikia raha sana moyoni. Yaani najishangaa nampenda tu binti bila kumuona na sijui kwanini.
Wewe dada kama unaishi Dar naomba nikutafute japo nikuone tu mwenzio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli nikiona comment au uzi wowote kutoka kwa huyu mdada anaejiita Sky Eclat huwa najisikia raha sana moyoni. Yaani najishangaa nampenda tu binti bila kumuona na sijui kwanini.
Wewe dada kama unaishi Dar naomba nikutafute japo nikuone tu mwenzio.
Sent using Jamii Forums mobile app