Nampenda sana ila hanielewi

Nampenda sana ila hanielewi

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Jamani wana mmu

Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu
 
hivi yale mapenzi ya kurudishiana picha hadi leo yapo?
usijali ndugu kama ipo ipo tu, kuwa na subira hasira zimuishe ila siku nyingine ujue kwamba "Kizibo dili"
 
hivi yale mapenzi ya kurudishiana picha hadi leo yapo?
usijali ndugu kama ipo ipo tu, kuwa na subira hasira zimuishe ila siku nyingine ujue kwamba "Kizibo dili"

asante mkuu.kizibo dili ndo nini?
 
Muite uyo rafiki yake na uyo mpenzi wako na umwambie uyo rafiki yake aseme yote ayo mbele yenu wawili ili mkate mzizi wa fitna
 
Muite uyo rafiki yake na uyo mpenzi wako na umwambie uyo rafiki yake aseme yote ayo mbele yenu wawili ili mkate mzizi wa fitna

yeye alinambia wamemwambia watu wengine si rafiki yake,ila najua kamwambia rafiki ake tu
 
Jamani wana mmu

Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu

kunywa viroba hasa nywagi vinaondoa mawazo au mlete hapa hapa jukwaani tukuombee msamaha
 
etiiiiii!!!!! ukamrudishia na picha? hivi kumbe bado watu tunapeana picha mmmh hapa mawili either mi mshamba au huyo mpenzi hanipendi hata picha yake hajanipa!

haya endelea tu kuongea nae atakuelewa
 
etiiiiii!!!!! ukamrudishia na picha? hivi kumbe bado watu tunapeana picha mmmh hapa mawili either mi mshamba au huyo mpenzi hanipendi hata picha yake hajanipa!

haya endelea tu kuongea nae atakuelewa

juzi niliongea nae akawa mgumu katu kata
 
yeye alinambia wamemwambia watu wengine si rafiki yake,ila najua kamwambia rafiki ake tu
Basi n kweli unaye,mna pengine huyo rafiki yake anajua ndio maana unasisitiza kaambiwa na rafiki yake
 
Basi n kweli unaye,mna pengine huyo rafiki yake anajua ndio maana unasisitiza kaambiwa na rafiki yake

kwasababu nilimtuma akampeleleze kama anamchiz mwingine ko yeye akasema nimtuma mim na akamwambia na mengne ambayo kwa saiz hayapo ila alikuepo kitambo
 
Jamani wana mmu

Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu

Soma kwanza achana namapenzi mkikuwa mtaelewana
 
Kwahyo umekuja huku tukutafutie mchumba??

Subiri nikimuona anapita hapa ntakusaidia kumsimamisha
 
hivi yale mapenzi ya kurudishiana picha hadi leo yapo?
usijali ndugu kama ipo ipo tu, kuwa na subira hasira zimuishe ila siku nyingine ujue kwamba "Kizibo dili"
Ha ha ha, jamaa amenikumbusha mbali huyu, eti kurudisha picha daaah imekaa kinanalog hiyo...

Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom