SOGGA MTOTO
Member
- Dec 1, 2011
- 16
- 0
jaman nahtaji mawazo yenu nifanyeje...nilibahatka kuwa na girl friend nkampenda tena sana kumbe mwenzangu ana ttzo la maumbile yaan sehem zake za siri hazna penetration hole....mwanzoni nilzan labda ni bikira kumbe n ttzo{pameziba automatically}....nilipomdadisi sana akadai kazaliwa hvyo na hajui la kufanya ila binafsi nampenda sana kama kuna tiba,ushauri ama mawazo yenu nisaidieni nmsaidie mpenz wangu aifurahie dunia.
tigo inawajibika
Mkuu naomba nikuulize kitu kimoja, huyo mwanadada haendi hedhi?
Tafuta Gyno, pale mhimbili wapo. Prof Mgaya.
hili ndilo lilikuwa swali langu.......
"hedh Anaenda vizurMkuu naomba nikuulize kitu kimoja, huyo mwanadada haendi hedhi?
Kama jibu ni ndio basi atakua ana zaidi ya hilo tatizo uliloliainisha, ambalo nadhani sababu yake ni kufunga kwa ngozi ya bikira tangu akiwa mtoto au kabla hata hajazaliwa.
Muhimu ni kuwaona wataalamu wa upasuaji
hili ndilo lilikuwa swali langu.......