Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
fata jinsi moyo wako unavyokuelekezaHabari kaka Magical powerView attachment 3174814, nina umri wa miaka 33 Nina Mtoto mmoja, sielewi Mimi ni single au nijiteje kuna jamaa ambaye tumetokea kupendana kwa miezi nane sasa, ila tatizo nikuwa aliachana na mke wake na ana watoto watatu na huyu ex wake.
Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito kuolewa naye mtu azae Mitoto 3 yote ikasumbue kichwa Mimi na ubaya kitoto chake Cha mwisho cha kike kinemfanana mama yake nikikaona najaa wivu nahuzunika sana.
Na Inavyosemekana kwamba mama wa hawa watoto ni mtu anayependa ugomvi sana.
Nahitaji ushauri nifanye nini kwa hili nampenda sana mwanamume?
Ninachokiona kwako ni ubinafsi. Wewe mwenyewe una mtoto ambaye siyo wake, halafu unasema hauko tayari kulea hao wengine. Sijakuelewa kwa kweliHabari kaka Magical powerView attachment 3174814, nina umri wa miaka 33 Nina Mtoto mmoja, sielewi Mimi ni single au nijiteje kuna jamaa ambaye tumetokea kupendana kwa miezi nane sasa, ila tatizo nikuwa aliachana na mke wake na ana watoto watatu na huyu ex wake.
Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito kuolewa naye mtu azae Mitoto 3 yote ikasumbue kichwa Mimi na ubaya kitoto chake Cha mwisho cha kike kinemfanana mama yake nikikaona najaa wivu nahuzunika sana.
Na Inavyosemekana kwamba mama wa hawa watoto ni mtu anayependa ugomvi sana.
Nahitaji ushauri nifanye nini kwa hili nampenda sana mwanamume?
Mkuu hapo ni 3:1.Ninachokiona kwako ni ubinafsi. Wewe mwenyewe una mtoto ambaye siyo wake, halafu unasema hauko tayari kulea hao wengine. Sijakuelewa kwa kweli
GG yes Ftβ β π―πππMkuu hapo ni 3:1.
Usisahau
Uwone dada ana 1 na majaa ni 3.GG yes Ftβ β π―πππ
Achana naye huyo mwanaume Dadaangu..Habari kaka Magical powerView attachment 3174814, nina umri wa miaka 33 Nina Mtoto mmoja, sielewi Mimi ni single au nijiteje kuna jamaa ambaye tumetokea kupendana kwa miezi nane sasa, ila tatizo nikuwa aliachana na mke wake na ana watoto watatu na huyu ex wake.
Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito kuolewa naye mtu azae Mitoto 3 yote ikasumbue kichwa Mimi na ubaya kitoto chake Cha mwisho cha kike kinemfanana mama yake nikikaona najaa wivu nahuzunika sana.
Na Inavyosemekana kwamba mama wa hawa watoto ni mtu anayependa ugomvi sana.
Nahitaji ushauri nifanye nini kwa hili nampenda sana mwanamume?
Wewe una roho mbaya, huwezi kuishi na watu, leo huyo mwanao peke yako. Hutaki kulea wa mwingine ila unataka wa kwako aleleweHabari kaka Magical powerView attachment 3174814, nina umri wa miaka 33 Nina Mtoto mmoja, sielewi Mimi ni single au nijiteje kuna jamaa ambaye tumetokea kupendana kwa miezi nane sasa, ila tatizo nikuwa aliachana na mke wake na ana watoto watatu na huyu ex wake.
Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito kuolewa naye mtu azae Mitoto 3 yote ikasumbue kichwa Mimi na ubaya kitoto chake Cha mwisho cha kike kinemfanana mama yake nikikaona najaa wivu nahuzunika sana.
Na Inavyosemekana kwamba mama wa hawa watoto ni mtu anayependa ugomvi sana.
Nahitaji ushauri nifanye nini kwa hili nampenda sana mwanamume?
Kunleki ππ kwaiyo ila uyo bwana kulea kijusi ambacho sio chake ni sawa etAchana naye huyo mwanaume Dadaangu..
Kuhangaika kufuta vinyesi watoto wa watu haihusu kwa kweli..
Na huyu Bwana tia block kabisa asikuzoee..
Kwanza kwani ni lazima kuolewa eti?
Mmh kinachoshangaza hata ww ni mama wa mtoto achana na huyo mkaka usije ukatesa watoto wake bure.Habari kaka Magical powerView attachment 3174814, nina umri wa miaka 33 Nina Mtoto mmoja, sielewi Mimi ni single au nijiteje kuna jamaa ambaye tumetokea kupendana kwa miezi nane sasa, ila tatizo nikuwa aliachana na mke wake na ana watoto watatu na huyu ex wake.
Nampenda sana lakini kila nikiwaza kulea watoto ambao sijawazaa moyo unakuwa mzito kuolewa naye mtu azae Mitoto 3 yote ikasumbue kichwa Mimi na ubaya kitoto chake Cha mwisho cha kike kinemfanana mama yake nikikaona najaa wivu nahuzunika sana.
Na Inavyosemekana kwamba mama wa hawa watoto ni mtu anayependa ugomvi sana.
Nahitaji ushauri nifanye nini kwa hili nampenda sana mwanamume?