Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
C91bVUKXoAAJaNa.jpg
Picha nzuri Kama hizi zinanoga ukituma na namba yake
 
Halafu unanifurahisha unavyoakti hunijui, mwambie huyo Smart911 akulete pale pa juzi kwenye Easter.

Narudia tena Pole sana kijana kwa Smart911 nbado sana hata mje ukoo mzima

Najua kabisa hii ishu ni planned na ndomana najibu kwa kujiamini

Mmefuliaa huu mzigo ni wa Smart911 the small boss Wee kapuku hii njama nishaistukiaaa na siogopi NG'O khakhaakhaa Nacheka kwa dharaaaau
 
Back
Top Bottom