Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

Hahahahaha kumbe ishu ni "watu kujua"??

Sisi tusibadili kwa maana yetu yatakuwa mapenzi ya wazi... michepuko ruksa.

Tuanze lini sasa??
Basi ngoja kwanza nikufikirie mwaya babu
 
Mleta uzi ndiyo analeta mambo ya facebook JF... Na baadhi ya member wengi kibao tu humu... mahondaw had been in JF muda mrefu sana... No one care about her presence... She got Smart911 kila mtu anajifanya kumjua sana... Mara ana data zake... Mara hivi...

Kwa mimi binafsi naona kawaida sana... Ila kwa mahondaw inaamumiza sana... Ndiyo maana inabidi niongee...


Cc: mahondaw
haya mkuu na'appreciate utetezi wako....
 
Kiukweli hata mimi mpaka sasa sijaamini nachokisoma hapa...

Mtu anakasirika kwa kuwa mpenzi wake kaanzishiwa thread... yani kakasirika kiasi cha kucancel date...
Binti kapagawa kiasi cha kuachia matusi ya kutosha...

Mara mkasirikaji anaibuka kivingine kabisa... yani kama ishu ilikuwa ndogo, kwa namna navyomsoma.
Na mleta mada anapotea mazima!!

Very interesting!!

Nimeshashuhudia couple nyingi sana hapa JF. Wengine wameshaoana na wana familia zao. Ila hii nimeivulia kofia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Wachina walipogundua akili za watanzania basi walitengeneza vitu kwa umbo zuri la housing kimbembe kunako mashine [emoji124]
 
Yani koment ni nyingiii sijui nianzie wapi hata
Anyway today I only focus khakhaakhaa

Nacheka kwa dharaaaau
Smart911 sweetlove thanks so much
I love you even more my papito


espy mate nashukuru sana ushauri wako niliufanyia kazi thank you so much for your concern mate
 
Back
Top Bottom