Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Basi ngoja kwanza nikufikirie mwaya babuHahahahaha kumbe ishu ni "watu kujua"??
Sisi tusibadili kwa maana yetu yatakuwa mapenzi ya wazi... michepuko ruksa.
Tuanze lini sasa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ngoja kwanza nikufikirie mwaya babuHahahahaha kumbe ishu ni "watu kujua"??
Sisi tusibadili kwa maana yetu yatakuwa mapenzi ya wazi... michepuko ruksa.
Tuanze lini sasa??
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Haki tena Ni mengi sana yanaendelea chini kwa chini tena ni wanaume wazima hovyooo
Utafikiri wanafilwafilw mxxiiiiiiiooouuuusssss
Wee ni wa kike kweli?Now what all these shits for!??
Hujui Funga domo lako tafadhar
Uchochezi mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee ni wa kike kweli?
Mbona napata mashaka na jinsia 'ako
Anasalimia tu banaNamwona Gilbert ...! Reported by CCTV camera Paprika
[emoji30] [emoji30] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Uchochezi mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hakuna mrembo aisiyependa pesaSalale, umekuwa miss chagga tangu lini mrembo?
haya mkuu na'appreciate utetezi wako....Mleta uzi ndiyo analeta mambo ya facebook JF... Na baadhi ya member wengi kibao tu humu... mahondaw had been in JF muda mrefu sana... No one care about her presence... She got Smart911 kila mtu anajifanya kumjua sana... Mara ana data zake... Mara hivi...
Kwa mimi binafsi naona kawaida sana... Ila kwa mahondaw inaamumiza sana... Ndiyo maana inabidi niongee...
Cc: mahondaw
Hahahah..! Basi sawa.Anasalimia tu bana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] inaitwa kujitekenya na kucheka mwenyeweKiukweli hata mimi mpaka sasa sijaamini nachokisoma hapa...
Mtu anakasirika kwa kuwa mpenzi wake kaanzishiwa thread... yani kakasirika kiasi cha kucancel date...
Binti kapagawa kiasi cha kuachia matusi ya kutosha...
Mara mkasirikaji anaibuka kivingine kabisa... yani kama ishu ilikuwa ndogo, kwa namna navyomsoma.
Na mleta mada anapotea mazima!!
Very interesting!!
Nimeshashuhudia couple nyingi sana hapa JF. Wengine wameshaoana na wana familia zao. Ila hii nimeivulia kofia.
MISS KWEMA? NAONA UPO KWENYE HREAD YA GOSSIP MUBASHARAhakuna mrembo aisiyependa pesa
ndiyo nakula ubuyu wa zanzibarMISS KWEMA? NAONA UPO KWENYE HREAD YA GOSSIP MUBASHARA
Siwezi kukukasirikia kwa muda mrefu love... Maelezo yako yamenirishisha mahondaw wangu... Nakupenda..
ha ahaha we bisha tu watakugongeaSio kweli, labda warembo wenye njaa kali. Ila nimekumbuka, Valentina nae ni wa kule kule.
Tutagongeana, uzuri mmoja tu, utu uzima dawaha ahaha we bisha tu watakugongea
basi sawa ntaniTutagongeana, uzuri mmoja tu, utu uzima dawa
Kwa kweli..
Smart&mahondaw kumbukeni you only have one life to live. Live and Love to the fullest.
Achaneni na negativity, go and have fun.
TGIF Y'ALL!