FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Hivi kati yangu mimi na wewe nani kawa mkimya?? We hata nikikuwhatsapp unanichunia... au kwakuwa nilikutongoza??Asprin shikamoo nimekumiss sana mpaka naumwa le muzeee ni juu ya nini kuwa kimya hivyo?🙁
Tuliza munkari mjukuu... jamaa anafanya chitchatting tu.Wee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Hivi kati yangu mimi na wewe nani kawa mkimya?? We hata nikikuwhatsapp unanichunia... au kwakuwa nilikutongoza??
Kawaida sana ...k maji tupu halafu kama wolper yale mambo ya smellMbona wakawaida sanaaa!!!
Pichani ni wewe? Samahani lakiniWee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Na mimi nataka namba yako ya whatsapp!![emoji24] [emoji24] [emoji24]jamani unajua nilipoteza simu nikaanza moja unaanzaje sasa kumtongoza mkw wako🙂
makubwa.... hv miss chagaa na wewe utanipa makavu hv... nilishaandaa kwa ajili yako ila naanza kuogopa.. kumbe wakali hv..!!!!Wee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Tuliza munkari mjukuu... jamaa anafanya chitchatting tu.
Ukiichukulia JF siriaz kihivyo, unaweza kupata kansa ya nywele.
Kawaida sana ...k maji tupu halafu kama wolper yale mambo ya smell
bora umpunguze hasira maana anaweza kumeza mtu humu..!!!!Tuliza munkari mjukuu... jamaa anafanya chitchatting tu.
Ukiichukulia JF siriaz kihivyo, unaweza kupata kansa ya nywele.