Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una hofu kama yangu kumbemakubwa.... hv miss chagaa na wewe utanipa makavu hv... nilishaandaa kwa ajili yako ila naanza kuogopa.. kumbe wakali hv..!!!!
Sio makavu hii ishu imesukwaamakubwa.... hv miss chagaa na wewe utanipa makavu hv... nilishaandaa kwa ajili yako ila naanza kuogopa.. kumbe wakali hv..!!!!
Teh hapo Kaka snitch lazima utulize mpira utumie ndio ugawe pandeLete mpunga nikuunganishie.
bora umpunguze hasira maana anaweza kumeza mtu humu..!!!!
HahahahaHuyo ndo mahondaw???
Kama ndo huyo unahaki ya kuja Julia jf. Hahaa
Wewee kigogoKawaida sana ...k maji tupu halafu kama wolper yale mambo ya smell
Hahahaha
mahondaw my dear cool down... Don't take seriousSio makavu hii ishu imesukwaa
Mizimu yangu inaniambia kabisa this is planned
Mi bwana leo nipo tayari kwa lolote I don't care
Washaniharibiaa washamivuruga na kuvuruga kila kitu Smart911 hanielewiii nitajiua hakyamungu akili sio yangu hapa ishapaa
Ana bonge la chogoNimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
![]()
Ulikuwa hujui wanaume ndivyo walivyo baadhi yao humu akihisi tu unatoka na mtu wanaanza chokochoko,,kaza mkanda funga na kamba smart muelewa bana hawezi maindi hivi vituSio kumeza mtu kuna wanaume humu Wana mambo ya ajabu sana laiti ungejua ungenionea huruma tu. wanaume wazima haoo na pumb zao tikisa tikisa mpaka kwa Smart mwanaume unaanzaje kuongea kwa mwanaume mwenzako lakini!!?? Dahhhhhhhhhhh
ha ahhahahaHao wasengenyaji tu hao hawana lolote kutaka kuniharibia tu .
mahondaw unaitwa huku
Smart911 jipange sasa unaanza kupata competitors
Hebu tulia...... Mdogo shemej.....Wee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Basi ngoja nifanye mpango uje kwenye himaya yanguAkuu!!
Smart911 akiachana na huyu tena itabidi awe single kwa mda kwanza
Simjui mahondaw Mimi,ni nani huyo?