Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

Now is the time.

Go for it NOW man!

Sisi tunawajua wanawake, go for it now Bob!
 
Wee FORTALEZA umetumwa???

Kwanini unataka kuniharibia lakini???

Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013

All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows

Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Mapepo yote yameshindwa!😂🤸
 
Kumbe wewe mchoyo!🤸
Na smart tumepitia mengi sana! Hili penzi kuvunjika ngumu!

Hata yalotokea hapa kati tulikua tunawasiliana vizuri tu regardless ya shetani kuingilia kati!
Kipindi Tumezinguana tulikua tunagombana tunachambanaaa weeeeee kama ni matusi tunatukanana balaaaaa hapohapo mwisho tunabebishana na eti tumeachana hapo 😁😁😁 💋💋💋💕♥️♥️♥️!

Kweli Mambo yetu watuachie wenyewe

Hii ni endless love

Cc Smart911
 
Back
Top Bottom