swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Sasa mis chagga ni KE na wewe ni KE ulipaswa ufafanue sasa unampenda kivipi?mimi ni KE
nampenda tuu kwa uzur sio ki vingineSasa mis chagga ni KE na wewe ni KE ulipaswa ufafanue sasa unampenda kivipi?
Hapo umesomeka nilidhani unataka kumgegeda mtoto wa watu kwa fix za kumpenda. Utakua umempenda kwelimimi ni KE mkuu bora hata ningekua ME kumpenda miss chagga sio kosa
nashukuru kwa kuelewaHapo umesomeka nilidhani unataka kumgegeda mtoto wa watu kwa fix za kumpenda. Utakua umempenda kweli
Bora kabisa umehoji mkuu
Kupoost=kupostUbajilengesha= unajilengesha
Msikurupuke kupoost jaman
milling mashine...... umefurahi?wewe ni ke kweli.....au milling mashine
nimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!kama sijawahi kukusaga why uniite hivyo
sawa shukraninimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!
watu tunahangaika na uhaba wa "sukari". alafu wewe hata hii kidogo iliopo unataka uimwage? walaji hatutokubali huu upuzi.
wee mwanamke, mrudie RABUKA haraka.
sukari ipi mnayohangaikia mkuunimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!
watu tunahangaika na uhaba wa "sukari". alafu wewe hata hii kidogo iliopo unataka uimwage? walaji hatutokubali huu upuzi.
wee mwanamke, mrudie RABUKA haraka.
hujasoma fasihi?sukari ipi mnayohangaikia mkuu
Mtoto si riziki wewe unajisifu una sura nzuri kumbe shata wewe au ndio wale kigwangala anawatafutame nna sura nzuri balaa ndo maana najiamini sijakurupuka....na pia nampenda kwa jinsi anavyochangia mada
miss chagga kuna kondoo limejileta huku, afu si ulikuwa uanatafta mtu wa kukutoa Valentine?
hapana mkuu ukinielewesha itakua vizurhujasoma fasihi?
me hata sijakuelewaMtoto si riziki wewe unajisifu una sura nzuri kumbe shata wewe au ndio wale kigwangala anawatafuta
watu mna roho mbaya sanaMtoto si riziki wewe unajisifu una sura nzuri kumbe shata wewe au ndio wale kigwangala anawatafuta
neno sukari limetumika kuonesha mwanamke....hapana mkuu ukinielewesha itakua vizur
sawa mkuuneno sukari limetumika kuonesha mwanamke....
sure thingNaona wimbi la members wapya kutafute wake/waume na kupenda watu kingono linazidi kushika kasi......Jamani ebu jaribuni kuziangalia hizi id za kutafuta wake/waume na mengine yafananayo na hayo mtaniambia
hahahahaha [emoji23]Kupoost =kupost
Baba yako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe mwingine shuleni eeeh?
Pembeni mwako hamna watu? Hawajakushangaahahahahaha [emoji23]