Nampenda sana miss chaga

Nampenda sana miss chaga

kama sijawahi kukusaga why uniite hivyo
nimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!

watu tunahangaika na uhaba wa "sukari". alafu wewe hata hii kidogo iliopo unataka uimwage? walaji hatutokubali huu upuzi.

wee mwanamke, mrudie RABUKA haraka.
 
nimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!

watu tunahangaika na uhaba wa "sukari". alafu wewe hata hii kidogo iliopo unataka uimwage? walaji hatutokubali huu upuzi.

wee mwanamke, mrudie RABUKA haraka.
sawa shukrani
 
nimesoma btwn lines comments zako, na kwa kuunganisha uzi wako wa kumtaka mwanaume uliowahi kuleta humu. ndipo nikadhibitisha pasi shaka!!!

watu tunahangaika na uhaba wa "sukari". alafu wewe hata hii kidogo iliopo unataka uimwage? walaji hatutokubali huu upuzi.

wee mwanamke, mrudie RABUKA haraka.
sukari ipi mnayohangaikia mkuu
 
Back
Top Bottom