Nampenda sana Nargis Mohamed

Nampenda sana Nargis Mohamed

Cheology

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
384
Reaction score
601
Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.
Screenshot_20240414_175436_Chrome.jpg
Screenshot_20240414_175329_Chrome.jpg


Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
 
Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.

Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Ukiona msichana anakuwa mama bado ni mrembo huyo ni mrembo kwa kuzaliwa
 
Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633

Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
AU NDO WEWE MWENYEWE
 
ephen_ usisikitike...

Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nim3msahau ngoja nitafute jina lake...

Ingawaje mamiss wa zamani marehemu Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...
Lundenga kawatembezea sana rungu la kipepe!! Mzee jau kweli yule
 
Back
Top Bottom