Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Ukiona msichana anakuwa mama bado ni mrembo huyo ni mrembo kwa kuzaliwaHuyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania ๐น๐ฟ nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Ana principle gani mkuu au ana toa sheria za tendo..bila shaka unamjuaA woman of principles
View attachment 2963631
Mzuri Ametulia hana Mambo mengi
AU NDO WEWE MWENYEWEHuyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania ๐น๐ฟ nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
KP havumi ila nae yupooo, ukianza kuhesabu list yake.Chuma kilikuwa cha kipanya hiki walipendezana sana, sema jini mkata kamba hata alipotokea.
KP alimtafuna akiwa mbichi kabisaKP havumi ila nae yupooo, ukianza kuhesabu list yake.
Lundenga kawatembezea sana rungu la kipepe!! Mzee jau kweli yuleephen_ usisikitike...
Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nim3msahau ngoja nitafute jina lake...
Ingawaje mamiss wa zamani marehemu Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...