Nampenda Happiness Watimanywa..!ephen_ usisikitike...
Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nim3msahau ngoja nitafute jina lake...
Ingawaje mamiss wa zamani marehemu Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...
Lundenga alifariki???Lundenga kawatembezea sana rungu la kipepe!! Mzee jau kweli yule
Hapana. Sema tokea aachane na ayo mambo mashindano yamepoteza utamuLundenga alifariki???
Huyu Si kanumba Alipita huyuHuyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Na mi ndo nashangaa hata sijui km alikufa yule babu!!Lundenga alifariki???
Kabisa hayana mvuto kama Enzi za kina WemaHapana. Sema tokea aachane na ayo mambo mashindano yamepoteza utamu
Unamchulia mzee wa watu! Kafa lini?ephen_ usisikitike...
Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nimemsahau ngoja nitafute jina lake...
Ingawaje mamiss wa zamani marehemu Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...
Kiukweli kwenye ile video ya professor zali la mentali,alikuwa pisi sanaaa.Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Nampenda Happiness Watimanywa..!
Warembo wote waliopita nampenda yeye
Umekula chumvi nyingi sanaaUmeanza kufuatilia Miss TZ mwaka gani?
Mimi tangu enzi za Aina Maeda, wakati huo akichuana kindakindaki na Tabasamu Ngongoseko...
Kipindi hiyo habari za umiss tunazisoma kwenye Mzalendo na Uhuru...
Na wewe si wamekutembezea watabe! Kwanini umuite Ankali Lundenga Jau?Lundenga kawatembezea sana rungu la kipepe!! Mzee jau kweli yule
Mkuu...ila Lundenga yu haiUmeanza kufuatilia Miss TZ mwaka gani?
Mimi tangu enzi za Aina Maeda, wakati huo akichuana kindakindaki na Tabasamu Ngongoseko...
Kati ya wachuchu wote buana, kuna kitu kilikuwa kinaitwa Lisa Jensen...
Hahah Uncle Hasheem akikaa na kuwaangalia vijana wasasa anabaki kuwacheka tu, alijua kujipakulia minyama wallah.ephen_ usisikitike...
Pamoja na kwamba Nargis ni kisu lakini alichemsha kwenye kujibu maswali, Bahame alimzidi na yule mwingine namba 2 nimemsahau ngoja nitafute jina lake...
Ingawaje mamiss wa zamani marehemu Lundenga alikuwa anawachuja nafaka sana...
Hakutaka kupoteza muda kabla vijana hawajafanya yaoKP alimtafuna akiwa mbichi kabisa
Umekula chumvi nyingi sanaa
Mimi nimeanza kufatilia Mashindano mwaka 2013, nakumbuka Warembo walivaa nguo nyeupe wakawa wanakata viuno nyimbo ya Psquare Personally Nikavutiwa kuanza kufatilia.