Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Watu wenye akili ya aina hii, wakishiba tu ugali na dagaa au maharage; basi kelele ni mji mzima.Kwa hio rais wako ni "His" ? Kuwa na adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wenye akili ya aina hii, wakishiba tu ugali na dagaa au maharage; basi kelele ni mji mzima.Kwa hio rais wako ni "His" ? Kuwa na adabu.
Yaelekea unapenda sana kulipiwa bills, ok kunywa bia mbili hapo nje ya nyumba yenu nakuja kulipa fasta.Anakulipia bills?.
Acha uchawa
We hupendiYaelekea unapenda sana kulipiwa bills, ok kunywa bia mbili hapo nje ya nyumba yenu nakuja kulipa fasta.
Hakuna kitu kama hicho!, basi andika na majaliwa, mpango!Hata mimi nampenda sababu kuna kontena langu kutoka Marekani nilikuwa nimeliandika "kontena la samia" maafisa wa Tra walivyoliona bandarini, hawakulitoza kodi hata cent.Kontena langu likapita bila kutozwa kodi. Nina mpenda samia maana kupitia yeye nilipata mbinu ya kuweza kukwepa kodi na kufaidi jasho langu halali.
Yule aliekupa jina la mnyonge? Na hali ya kuwa ni mzima wa AFYA,una miguu ,mikono, na macho...Numbisa tuwe wakweli, Rais huyu utamfananisha na yule ayeamuru mabada ya machinga yajengwe kila chochoro, mpaka nchi ikageuka ya ajabu.