Nampenda sana Relief Mirzska

Hata sijielewi maana simuaminiamini hivi. Ila nampenda jamani utani mbali
Sawa mkuu,ukikuta anamtu au hawezi kukupenda,your welcome to love me[emoji4][emoji4]
 
Naomba mtoa mada anigaie ujasiri ili na mie siku na fall humu, nijitoe muhanga tena na hii hii ID..!!😂😂
Ndugu yangu shauri yako, tuacheni mila za kizamani eti mpaka mwanamme akutongoze wewe. Wanaume wenyewe ndio hawa unamuonyesha kila dalili na bado haelewi
 
Acha kujiaibisha,yaani unafungua ID ya pili na kujipigia promo..tena mwandiko ni wa kiume kabisa..hivi mnanufaika na nini kwa haya maujinga yenu?
Kwanini nihangaike kukujibu eti??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…