Nampenda sana Rubii..!

daah mapenzi bwanaa!! Rubii kila siku ananiomba nisimuache,nisimsaliti lkn miee hata bado sijaanza kumfikiria!! Ajabu kidume mwenzangu anajitangaza kabisaa kuwa yuko vzr kipesa lkn hatakiwi
 
Rubiii mwenyewe kama alishatangulia mbele za hukumu. Mbona haonekani? Unaitwa na muuza majeneza huko hebu nawe funguka buana
 
Bora yangu mimi ambaye nimezoea kula kwa macho, hizi presha zote za nini!!!
 
rubii mahaba yamekufika


Ha ha ha a mahaba kutoka kwa muuza majeneza!!





daah mapenzi bwanaa!! Rubii kila siku ananiomba nisimuache,nisimsaliti lkn miee hata bado sijaanza kumfikiria!! Ajabu kidume mwenzangu anajitangaza kabisaa kuwa yuko vzr kipesa lkn hatakiwi



Mmmmmh!! kumbe nawewe huwa unaniota pia jamaniii



Rubiii mwenyewe kama alishatangulia mbele za hukumu. Mbona haonekani? Unaitwa na muuza majeneza huko hebu nawe funguka buana



Nipooo hapa nasikilizia muamala utasoma kiasi gani
 
Ha ha ha a mahaba kutoka kwa muuza majeneza!!









Mmmmmh!! kumbe nawewe huwa unaniota pia jamaniii







Nipooo hapa nasikilizia muamala utasoma kiasi gani
Muamala wa huduma za majeneza, kwahiyo ukiolewa utakuwa unajihimu asubuhi muhimbili kufungua duka la majeneza duuu biashara nyingine zataka moyo kwakweli. RUBIII usiseme unanuksi watu wamekujia hebu funguka buana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…