Kabisaa jamani kakake...
Nakuhamu ujue
Unakwama wapi eti dearrrrMwenzangu sijampataaaaaaa
Habari wana MMU?
"Wahenga walisema mficha maradhi kifo humuumbua"
Kiukweli inanibidi niwe tu mkweli ili niweze kuifanya nafsi na moyo Wangu kuwa huru.
Ni kwamba nimetokea kumpenda sana mdada anayetumia ID ya Shunnie.Ninaposema nampenda namaanisha kuwa nampenda sana.
Shunnie, wewe ndiyo umesababisha nijiunge JF ili niweze kupata chance ya kuwasiliana na wewe na kuweza kuonana kama itawezekana ili tuweke mambo sawa na kama tutaridhiana nipo tayari kabisa uwe mke wangu.
Shunnie najua hapo ulipo una mtu wako na kama haujawahi kutangaza ndoa basi tambua huyo hana lengo zuri na wewe.
Mrembo Shunnie naomba ufungue moyo wako ili unipe nafasi katika ulimwengu wako wa mahabati. Nami nijihisi kidume peke yangu katika ulimwengu huo.
Mpende akupendaye Shunnie.
Nakupenda sana Shunnie. Naomba unielewe. Malengo yangu kwako ni mazuri Mrembo Shunnie.Sita mere dating but dating ambayo mwisho wa siku itazaa tunda la ndoa.
Naomba unielewe Shunnie. Nakupenda sana. Usiku silali, nakuwaza wewe na hata nikilala simpati usingizi unaotakiwa maana muda wote nakuwaza wewe.
You really drive me crazy.... Shunnie.
Ndiwooo... asa Mbona leo hujatuma eti jamani...Kweli enhe!??Nimekuhamu pia!!!
Naona rafiki yetu anatafutwa humu kwa udi na uvumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kibabu flani hivi, mkulima msaafu alihamia kule ShijalibugaSAKAYO ni nani Mkuu?
Acha kuharibu uzi wa watu
Usiniwekee maneno Mkuu.Huyu anamjua
Kaja kivingine
Sioti Mkuu.Portable?????? Hahahahhahahahaha huyu kweli anaota
Huu muandiko una rangi zote za upendo, sema tu utakuwa unantaka ila PM yako imejifunga...teh[emoji28]Hahahahaha
Huo mwandiko umeuonaje baharia
NasemaaaUsimwambie mtu
AmeniNi kibabu flani hivi, mkulima msaafu alihamia kule Shijalibuga
Mkuu si unajua when a real loves.Naona vijana mmeamua kujilipua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu muandiko una rangi zote za upendo, sema tu utakuwa unantaka ila PM yako imejifunga...teh[emoji28]
Samahani MkuuUsiniwekee maneno Mkuu.
Wanajilipua VitaniHuu ni msimu wa couples, na vijana naona wanazidi ku kunjua roho