Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Hukutuma bana kaka..Hvi sijakutumia!?Nilipitiwa tu etii!!
Hebu fanya kumtafuta naona vijana wamechachamaa!!!
Yupo jukwaani hukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukutuma bana kaka..Hvi sijakutumia!?Nilipitiwa tu etii!!
Hebu fanya kumtafuta naona vijana wamechachamaa!!!
Hukula wazeeKipenda roho
Barikiwa sanaYameisha dada. Niwewe pekee nakuheshimu dada
Haijalishi mkuu. Cha msingi niwe naye tu maana nampenda sana huyu SHUNNIE.Jombaa unadhani hicho kitumbua kipo single?
Ngoja nifanye mpango mpaka ninunue gari yangu kwanzaNjoo nikupe mmoja
Asa gari ya niniNgoja nifanye mpango mpaka ninunue gari yangu kwanza
Huyu anamjua
Kaja kivingine
Ukali ni wake. Hawezi niletea ukali Mkuu.Mumewe alivyo mkali mkuu...
Rest in Peace un advance
Niliona kwenye uzi fulani hivi anasema yeye ni ki-portable fulani amazing.Ndioo. Kajuaje ni portable?
Mkuu imetokea tu.Yaani jamaa yake anakuchoraa tu unavyo aibisha mabaharia.
Unaanzaje kumpondea mume au mpenzi wake kisha unafuatia kumtongoza?
Wewe tangaza sera zako usianze kumzungumzia kidume mwenzio.
Kosa kubwa sana hili usirudie tena hata mtaani au kazini kwenu.
Umenikumbusha enzi hizo jamaa kanipondea kwa girlfriend wangu, baadae mrembo kaja kuniambia yote nikabaki namdharau jamaa kimya kimya.
Yeah ktk avatar si rahisi kuonekanaHuyo watatu sikumuona vizuri
Asante sana jamani
wakat unahangaik kuandika andika humu mi mwenzako niko namtafuna.Habari wana MMU?
"Wahenga walisema mficha maradhi kifo humuumbua"
Kiukweli inanibidi niwe tu mkweli ili niweze kuifanya nafsi na moyo Wangu kuwa huru.
Ni kwamba nimetokea kumpenda sana mdada anayetumia ID ya Shunnie.Ninaposema nampenda namaanisha kuwa nampenda sana.
Shunnie, wewe ndiyo umesababisha nijiunge JF ili niweze kupata chance ya kuwasiliana na wewe na kuweza kuonana kama itawezekana ili tuweke mambo sawa na kama tutaridhiana nipo tayari kabisa uwe mke wangu.
Shunnie najua hapo ulipo una mtu wako na kama haujawahi kutangaza ndoa basi tambua huyo hana lengo zuri na wewe.
Mrembo Shunnie naomba ufungue moyo wako ili unipe nafasi katika ulimwengu wako wa mahabati. Nami nijihisi kidume peke yangu katika ulimwengu huo.
Mpende akupendaye Shunnie.
Nakupenda sana Shunnie. Naomba unielewe. Malengo yangu kwako ni mazuri Mrembo Shunnie.Sita mere dating but dating ambayo mwisho wa siku itazaa tunda la ndoa.
Naomba unielewe Shunnie. Nakupenda sana. Usiku silali, nakuwaza wewe na hata nikilala simpati usingizi unaotakiwa maana muda wote nakuwaza wewe.
You really drive me crazy.... Shunnie.
Hakuna noma baharia.Mkuu imetokea tu.
Ukali ni wake. Hawezi niletea ukali Mkuu.
Ongeza sauti dadaNdioo. Kajuaje ni portable?
Niliona kwenye uzi fulani hivi anasema yeye ni ki-portable fulani amazing.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mumewe alivyo mkali mkuu...
Rest in Peace un advance
Ni kweli kabisaaYeah ktk avatar si rahisi kuonekana