Nampenda sana Vanessa mdee

Unamtaka bila kujali kama ameolewa au laa?
Mimi hilo sijali,.. cha msingi nimwambie tu nampenda labda mzigo nlionao moyoni utapungua, nampenda sana ata sijui nieleze je
 
Jux mwenyewe hajampata anamzungusha bado subiri kwanza wapeane ndo na wewe uombe.
 
Ongea wewe mkuu. Yani hana mvuto hata sijui alizaliwa njiti ama?
Afu unaeza kuta anajiona mzurii...ila kuikweli uyo demu ni mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…