Nampenda Sky Eclat

Nampenda Sky Eclat

Sasa si umfuate PM ukamwambia ukitangaza huku haitosaidia halafu unampenda kwa Upendo wa aina gani

Kirafiki
Kimapenzi
Kifamilia
Kiubinadamu n.k
 
Huyo dada ni pendwable, uko sahii mtoa uzi, nivizuri umesema hisia zako, natumaini dada amejisikia vizuri
 
na mimi nidandie uzi huuhuu kwa kusema namkubali kapeace kwa namna ya mtoa mada na si vinginevyo
 
Hata mie nampenda ila sio kama wewe,unampenda sana ila humuhitaji kimahaba...
 
Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia.
Na yuko funny kwa kiasi fulani.

Nampenda sana, hiyo haimaanishi namuhitaji kimahaba, lengo langu la kusema ni kumfanya ajue tu jinsi nnavyohisi juu yake. Ajue kuwa kumbe kuna mtu anafurahia mno michango na mashauri yake.

Habari hii ikufikie kokote ulipo Sky Eclat, nakupenda sana.

NB: Ndugu zangu msinielewe vibaya, Sitafutagi mpenzi mtandaoni. Siwezi date na mtu nisiyemjua kwa undani.
Nimekusamehe sababu ya sentensi yako ya mwisho.

Usione vyaelea, vimeundwa.
 
Back
Top Bottom