Umenichekesha nduguWewe uyo sio mdada shauri lako
Ni mmama shauri yako
sure man....mana kuna nyuzi za 2012 zlikua znamuongelea kida waziri na uyo esclat alikua anatia neno....na uyo esclat comment zake anaonekana wa kitamboo...mana ni mambo ya miaka yaa 90 katka hali ya ujana wakeWewe uyo sio mdada shauri lako
Ni mmama shauri yako
Old is Goldsure man....mana kuna nyuzi za 2012 zlikua znamuongelea kida waziri na uyo esclat alikua anatia neno....na uyo esclat comment zake anaonekana wa kitamboo...mana ni mambo ya miaka yaa 90 katka hali ya ujana wake
HhaahahhHahaha saivi hako kamdomo hakapo tena, hapo ni kipindi cha BC huko Korea, saivi nimezaliwa upya Bongoland na mdomo wa chai jaba[emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Hahaha saivi hako kamdomo hakapo tena, hapo ni kipindi cha BC huko Korea, saivi nimezaliwa upya Bongoland na mdomo wa chai jaba[emoji39]
Sky sio wa kukosa bwana kwa tabia zake zinavyojidhihirisha kimwandikoayaaaa....naombea acwe na bwanaa
Hahaha asante haitoshiAsante sana
ha ha haaaAspirin ndo nani?
ha ha haaaNgoja aje utamjua
Asante nami nakukubali pia kadovelana mimi nidandie uzi huuhuu kwa kusema namkubali kapeace kwa namna ya mtoa mada na si vinginevyo
Nimefarijika sanaHuyo dada ni pendwable, uko sahii mtoa uzi, nivizuri umesema hisia zako, natumaini dada amejisikia vizuri
Usimvunjie heshima tafadhali.Tatizo sky ana wanaume wengi
baraka tele zikufuate daimaAsante nami nakukubali pia kadovela
Nimekusamehe sababu ya sentensi yako ya mwisho.Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia.
Na yuko funny kwa kiasi fulani.
Nampenda sana, hiyo haimaanishi namuhitaji kimahaba, lengo langu la kusema ni kumfanya ajue tu jinsi nnavyohisi juu yake. Ajue kuwa kumbe kuna mtu anafurahia mno michango na mashauri yake.
Habari hii ikufikie kokote ulipo Sky Eclat, nakupenda sana.
NB: Ndugu zangu msinielewe vibaya, Sitafutagi mpenzi mtandaoni. Siwezi date na mtu nisiyemjua kwa undani.