Nampongeza Dkt. Bashiru Ally lakini...

Nampongeza Dkt. Bashiru Ally lakini...

Nampongeza sana Dr Bashiru Ally, Ambassador kuteuliwa kuwa Chief Secretary. Ila nina reservations mbili tu.

Moja, hana uzoefu mkubwa katika ku-run Goverment machinnery, ukifikiria kuwa asili yake ni mwalimu UDSM. Na hajawahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara yoyote ya serikali. Hilo ni moja.

Pili, ukitaka kumuondoa mtu sehemu mpaishe aende juu.

Pale CCM akiwa Katibu Mkuu alianza kuweka mambo sawa ila sijui kama kisiasa alikuwa ana rhyme na misimamo tunayoiona.
Misimamo ya Bashiru ilikuwa ya kisomi.

Je, CCM itaendelea kuwa vipi?

Maoni pls.
Poa moto. Hata Kijazi mwenyewe alikuwa Mhandisi wa kawaida Tanroads, mtaalam wa madaraja na useremala ("Highway Engineering"); hakuwahi kuwa Karani wala DC, wala diplomat. Na nyie subirini 2025 Godbless akirudi mtampa awe IGP ingawa hana uzoefu (au uzoefu wake tuseme ni from the other direction!), ubaya ni upi?
 
Poa moto. Hata Kijazi mwenyewe alikuwa Mhandisi wa kawaida Tanroads, mtaalam wa madaraja na useremala ("Highway Engineering"); hakuwahi kuwa Karani wala DC, wala diplomat. Na nyie subirini 2025 Godbless akirudi mtampa awe IGP ingawa hana uzoefu (au uzoefu wake tuseme ni from the other direction!), ubaya ni upi?
Naona una bwabwaja tu.
Kijazi hajawi kufanya kazi TANROADS.
Pili, Eng Kijazi alianza na Ukurugenzi Wizara ya Ujenzi halafu akawa Katibu Mkuu wizara ya Ujenzi.
Tatu, Kijazi akawa Balozi nchini India akiwaskilisha Tanzania nchi kadhaa.

Mkuu kama huna facts heri ukanye mbege au kimpumu upumzike.
 
Ccm Ina watu wengi sana wenye uwezo
Hoja yako ya uzoefu nii mfu,muhimu ni uadilifu na uchapa kazi,ndio maana CS anatakiwa awe balozi
Pengine umezaliwa jana.
Mzee Timothy Apiyo hakuwahi kuwa Balozi.
 
Back
Top Bottom