Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Mkuu na mm nasubiria jibuMlitaka apewe nani ili muache maneno ya kwamba fulani hafai au hatoshi kwenye nafasi hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na mm nasubiria jibuMlitaka apewe nani ili muache maneno ya kwamba fulani hafai au hatoshi kwenye nafasi hii?
Poa moto. Hata Kijazi mwenyewe alikuwa Mhandisi wa kawaida Tanroads, mtaalam wa madaraja na useremala ("Highway Engineering"); hakuwahi kuwa Karani wala DC, wala diplomat. Na nyie subirini 2025 Godbless akirudi mtampa awe IGP ingawa hana uzoefu (au uzoefu wake tuseme ni from the other direction!), ubaya ni upi?Nampongeza sana Dr Bashiru Ally, Ambassador kuteuliwa kuwa Chief Secretary. Ila nina reservations mbili tu.
Moja, hana uzoefu mkubwa katika ku-run Goverment machinnery, ukifikiria kuwa asili yake ni mwalimu UDSM. Na hajawahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara yoyote ya serikali. Hilo ni moja.
Pili, ukitaka kumuondoa mtu sehemu mpaishe aende juu.
Pale CCM akiwa Katibu Mkuu alianza kuweka mambo sawa ila sijui kama kisiasa alikuwa ana rhyme na misimamo tunayoiona.
Misimamo ya Bashiru ilikuwa ya kisomi.
Je, CCM itaendelea kuwa vipi?
Maoni pls.
Naona una bwabwaja tu.Poa moto. Hata Kijazi mwenyewe alikuwa Mhandisi wa kawaida Tanroads, mtaalam wa madaraja na useremala ("Highway Engineering"); hakuwahi kuwa Karani wala DC, wala diplomat. Na nyie subirini 2025 Godbless akirudi mtampa awe IGP ingawa hana uzoefu (au uzoefu wake tuseme ni from the other direction!), ubaya ni upi?
Sasa huko kwenye wizara wanafanya nini kama hawatoshi.?Vipi kama JPM kawaona hawatoshi au kuendana na mfumo wake kulingana na mahitaji yake?
tumpe muda, ndio kwanza leo ameapishwa.Hawezi ziba pengo la Kijazi, ambaye amekuwa Katibu Mkuu wizara ya Ujenzi, Active Balozi miaka kadhaa na Chief Secretary kwa zaidi ya miaka mitano.
Linganisha ufito na boriti.
Ccm Ina watu wengi sana wenye uwezoJe, CCM itaendelea kuwa vipi?
Pengine umezaliwa jana.Ccm Ina watu wengi sana wenye uwezo
Hoja yako ya uzoefu nii mfu,muhimu ni uadilifu na uchapa kazi,ndio maana CS anatakiwa awe balozi