Nampongeza Mbowe kwa kutopanda Ndege ya Bure kwenda kuishangilia Yanga, huo ndio ubilionea!

Nampongeza Mbowe kwa kutopanda Ndege ya Bure kwenda kuishangilia Yanga, huo ndio ubilionea!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa kifupi sana

Rais Samia katoa Ndege kwa Mashabiki kindakindaki wa Yanga kwenda kuishangilia Yanga fainali ya CAF huko Algeria

Waliopanda hiyo Ndege sasa ni tofauti kabisa na malengo ya mh Rais

Niliiona Jina la Freeman kwenye orodha ya watakaosafiri lakini nimeambiwa Mbowe alisema nafasi yake awekwe Shabiki wa kweli atayeenda kushangilia Dakika zote 90 bila kuchoka, yeye ataenda kwa Ndege nyingine akitaka kwenda

Kwa hili nakupongeza sana Freeman umejitofautisha na hao matajiri walioziba nafasi za Mashabiki wa " Ukweli"
 
Kwa kifupi sana

Rais Samia katoa Ndege kwa Mashabiki kindakindaki wa Yanga kwenda kuishangilia Yanga fainali ya CAF huko Algeria

Waliopanda hiyo Ndege sasa ni tofauti kabisa na malengo ya mh Rais

Niliiona Jina la Freeman kwenye orodha ya watakaosafiri lakini nimeambiwa Mbowe alisema nafasi yake awekwe Shabiki wa kweli atayeenda kushangilia Dakika zote 90 bila kuchoka, yeye ataenda kwa Ndege nyingine akitaka kwenda

Kwa hili nakupongeza sana Freeman umejitofautisha na hao matajiri walioziba nafasi za Mashabiki wa " Ukweli"
Is this news? Ujinga TU na uharibifunwa fedha za umma wakati dawa hakuna mahospitalini. Mpira for what? After all Mpira ni hooliganism
 
d1d49d56-a52d-4d87-9b89-fc1610dfcf58.jpg
 
Back
Top Bottom