MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Alipoingia madarakani, wasiwasi ulitanda: miradi aliyoikuta itakufa! Sasa inaenda vizuri na kasi yake imeongezeka, check hapa:
1. SGR kama kawa. Baba PM kaenda Korea Kusini hivi karibuni kushuhudia mabehewa yetu mapya yaliyo tayari na yanayoendelea kutengenezwa.
2. STIGLERS' GORGE kama kawa (Hofu kubwa kwa wengi ilikuwa hapa)
3. Miradi ya barabara ndo usiseme. Mf. Dar hivi karibuni itakuwa kama Ulaya, kila kona barabara mpya, mwendokasi na midaraja.
4. WAMI, tayari tunavuka
5. Barabara ya kimkakati. TANGA-PANGANI-BAGAMOYO (256 KM) inasonga
N.k
N.k
N.k
Mama tunakutakia afya njema.
1. SGR kama kawa. Baba PM kaenda Korea Kusini hivi karibuni kushuhudia mabehewa yetu mapya yaliyo tayari na yanayoendelea kutengenezwa.
2. STIGLERS' GORGE kama kawa (Hofu kubwa kwa wengi ilikuwa hapa)
3. Miradi ya barabara ndo usiseme. Mf. Dar hivi karibuni itakuwa kama Ulaya, kila kona barabara mpya, mwendokasi na midaraja.
4. WAMI, tayari tunavuka
5. Barabara ya kimkakati. TANGA-PANGANI-BAGAMOYO (256 KM) inasonga
N.k
N.k
N.k
Mama tunakutakia afya njema.