sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale, nilipofika karibu na shule ya msingi Mbuyuni Kuna gari moja ilitokea Mwenge, karibu na Mbuyuni palikuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama mjuavyo jamani mtembea Kwa miguu umevaa shati lako jeupe la kipaimara.)
Yule bwana hakusimama kabisa, alipitiliza Mungu SI sifileo wala sio wewe unae soma hapa!
Gari ilisimamishwa kwenye mataa ya pale, nilichukua leso yangu nikaikoroga kwenye Tope nikaikimbiza ile gari nilipofika Kwa uoga wa dreva nilipofika tu alifungua kioo na kukifanya ananipa pole sikuchelewe nilimpaka tope zito usoni hakika nilimkomesha. Yule bwana alikuwa akielekea posta aligeuza pale pale na kurudi Maeneo ya Mwenge NAMI niligeuza kurudi kubadili nguo nilipo fika nyumbani roho ilikataa nisiende Tena.
Mke wa sifi Leo ndoa yetu Ina miaka 61 tangu tuoane, tumejaliwa kuzaa Wana miaka 61 Mimi na wewe tumekula mema ya nchi lakini mke wangu hivi uoni aibu kuendelea kununua chupi kusitili kalio Ili hali unashindwa nunua sindilia Ili inyanyue TITI lililo dodondoka?
Wanetu wanatushangaa sana kuona miaka 61 tuliyonayo ikitokea unatembea barabarani bahati mbaya nasema bahati mbaya mke wangu titi likadondoka watakao kuja kukusaidia kukunyanyua watakushika matiti moja Kwa Moja badala ya kushuka sidiria!
Ni aibu kubwa mke wangu tangu tuzaliwe hatuna hata kijiko cha kuchotea maji kwenye ziwa utakalo dumbukia uku umevaa chupi lakini titi likiwa wasi tiiiii
Wewe unae soma hapa tafakari chukua hatua.
Yule bwana hakusimama kabisa, alipitiliza Mungu SI sifileo wala sio wewe unae soma hapa!
Gari ilisimamishwa kwenye mataa ya pale, nilichukua leso yangu nikaikoroga kwenye Tope nikaikimbiza ile gari nilipofika Kwa uoga wa dreva nilipofika tu alifungua kioo na kukifanya ananipa pole sikuchelewe nilimpaka tope zito usoni hakika nilimkomesha. Yule bwana alikuwa akielekea posta aligeuza pale pale na kurudi Maeneo ya Mwenge NAMI niligeuza kurudi kubadili nguo nilipo fika nyumbani roho ilikataa nisiende Tena.
Mke wa sifi Leo ndoa yetu Ina miaka 61 tangu tuoane, tumejaliwa kuzaa Wana miaka 61 Mimi na wewe tumekula mema ya nchi lakini mke wangu hivi uoni aibu kuendelea kununua chupi kusitili kalio Ili hali unashindwa nunua sindilia Ili inyanyue TITI lililo dodondoka?
Wanetu wanatushangaa sana kuona miaka 61 tuliyonayo ikitokea unatembea barabarani bahati mbaya nasema bahati mbaya mke wangu titi likadondoka watakao kuja kukusaidia kukunyanyua watakushika matiti moja Kwa Moja badala ya kushuka sidiria!
Ni aibu kubwa mke wangu tangu tuzaliwe hatuna hata kijiko cha kuchotea maji kwenye ziwa utakalo dumbukia uku umevaa chupi lakini titi likiwa wasi tiiiii
Wewe unae soma hapa tafakari chukua hatua.