Namshangaa mke wangu ananunua sana CHUPI kuliko Sindiria ona sasa matiti yanadondoka TUBWi, hadi wa Ng'ambo wanaliona TITI lililo lala ni aibu

Namshangaa mke wangu ananunua sana CHUPI kuliko Sindiria ona sasa matiti yanadondoka TUBWi, hadi wa Ng'ambo wanaliona TITI lililo lala ni aibu

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale, nilipofika karibu na shule ya msingi Mbuyuni Kuna gari moja ilitokea Mwenge, karibu na Mbuyuni palikuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama mjuavyo jamani mtembea Kwa miguu umevaa shati lako jeupe la kipaimara.)

Yule bwana hakusimama kabisa, alipitiliza Mungu SI sifileo wala sio wewe unae soma hapa!

Gari ilisimamishwa kwenye mataa ya pale, nilichukua leso yangu nikaikoroga kwenye Tope nikaikimbiza ile gari nilipofika Kwa uoga wa dreva nilipofika tu alifungua kioo na kukifanya ananipa pole sikuchelewe nilimpaka tope zito usoni hakika nilimkomesha. Yule bwana alikuwa akielekea posta aligeuza pale pale na kurudi Maeneo ya Mwenge NAMI niligeuza kurudi kubadili nguo nilipo fika nyumbani roho ilikataa nisiende Tena.

Mke wa sifi Leo ndoa yetu Ina miaka 61 tangu tuoane, tumejaliwa kuzaa Wana miaka 61 Mimi na wewe tumekula mema ya nchi lakini mke wangu hivi uoni aibu kuendelea kununua chupi kusitili kalio Ili hali unashindwa nunua sindilia Ili inyanyue TITI lililo dodondoka?

Wanetu wanatushangaa sana kuona miaka 61 tuliyonayo ikitokea unatembea barabarani bahati mbaya nasema bahati mbaya mke wangu titi likadondoka watakao kuja kukusaidia kukunyanyua watakushika matiti moja Kwa Moja badala ya kushuka sidiria!

Ni aibu kubwa mke wangu tangu tuzaliwe hatuna hata kijiko cha kuchotea maji kwenye ziwa utakalo dumbukia uku umevaa chupi lakini titi likiwa wasi tiiiii

Wewe unae soma hapa tafakari chukua hatua.
 
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale,nilipofika karbu na shule ya msingi mbuyuni Kuna gari moja ilitokea mwenge, karbu na mbuyuni palikuuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama mjuavyo jamani mtembea Kwa miguu umevaa shati lako jeupe la kipaimara.)
Yule bwana hakusimama kabisa, alipitiliza Mungu SI sifileo wala sio wewe unae soma hapa!
Gari ilismamishwa kwenye mataa ya pale,nilichukia leso yangu nikaikoroga kwenye Tope nikaikimbiza Ile gari nilipofika Kwa uoga wa dreva nilipofika tu alifungua kioo nankukifanya ananipa pole sikuchelewe nilimpaka tope zito usoni hakika nilimkomesha..yule bwana alikuwa akielekea postal aligeuza pale pale na kurudi Maeneo ya mwenge NAMI niligeuza kurudi kubadili nguo nilipo fika nyumbani roho ilikataa nisiende Tena.

Mke wa sifi Leo ndoa yetu Ina miaka 61 tangu tuoane,tumejaliwa kuzaa Wana 61m.miaka 61 Mimi na wewe tumekula mema ya nchi lakini mke wangu hivi uoni aibu kuendelea kununua chupi kusitili kalio Ili hali unashindwa nunua sindilia Ili inyanyue TITI liliro dodondoka?

Wanetu wanatushangaa sana kuona miaka 61 tuliyonayo ikitokea unatembea barabarani bahati mbaya nasema bahati mbaya mke wangu titi likadondoka watakao kuja kukusaidia kukunyanyua watakushika matiti moka Kwa Moja badala ya kushuka sindiria!

Ni aibu kubwa mke wangu tangu tuzaliwe hatuna hata kijiko Cha kuchotea maji kwenye ziwa utakalo dumbukia uku umevaa chupi lakini titi likiwa wasi tiiiii

Wewe unae soma hapa tafakari chukua hatua.
Tulikuwa na GiLeSI humu naona unamfwatia.... Tanzania ina watu wa hovyo sana.
 
Labda anasubiri mumewe umnunulie.

Fasihi Yako ni nzuri, ila sijaelewa chupi nyingi ni nini, na hiyo sidiria ni nini?

Miaka 61 ambacho nchi imefanikiwa ni kuzidi kuwa na mgao wa umeme na maji, ndege kuvutwa na kamba, tozo Kila kukicha n.k.
 
maisha yanichanganye na wewe pia na thread yako isioeleweka unichanganye?? 🦥🤯
 
Naona umeshiba mihogo sasa umekuja kutuchosha
 
Mke kuendelea kununua chupi implies inchi kukopa kopa hovyo Ili kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo.
Wakuu au mlienda shule kusomea UJINGA.
 
Miaka kadhaa iliyopita nikiwa maeneo ya Namanga Makangira nikiwa njiani kuelekea kanisa la St Peter pale,nilipofika karbu na shule ya msingi mbuyuni Kuna gari moja ilitokea mwenge, karbu na mbuyuni palikuuwa na kijishimo uchwara yule bwana aliendesha gari Kwa kasi na kunimwagia Yale maji(kama mjuavyo jamani mtembea Kwa miguu umevaa shati lako jeupe la kipaimara.)
Yule bwana hakusimama kabisa, alipitiliza Mungu SI sifileo wala sio wewe unae soma hapa!
Gari ilismamishwa kwenye mataa ya pale,nilichukia leso yangu nikaikoroga kwenye Tope nikaikimbiza Ile gari nilipofika Kwa uoga wa dreva nilipofika tu alifungua kioo nankukifanya ananipa pole sikuchelewe nilimpaka tope zito usoni hakika nilimkomesha..yule bwana alikuwa akielekea postal aligeuza pale pale na kurudi Maeneo ya mwenge NAMI niligeuza kurudi kubadili nguo nilipo fika nyumbani roho ilikataa nisiende Tena.

Mke wa sifi Leo ndoa yetu Ina miaka 61 tangu tuoane,tumejaliwa kuzaa Wana 61m.miaka 61 Mimi na wewe tumekula mema ya nchi lakini mke wangu hivi uoni aibu kuendelea kununua chupi kusitili kalio Ili hali unashindwa nunua sindilia Ili inyanyue TITI liliro dodondoka?

Wanetu wanatushangaa sana kuona miaka 61 tuliyonayo ikitokea unatembea barabarani bahati mbaya nasema bahati mbaya mke wangu titi likadondoka watakao kuja kukusaidia kukunyanyua watakushika matiti moka Kwa Moja badala ya kushuka sindiria!

Ni aibu kubwa mke wangu tangu tuzaliwe hatuna hata kijiko Cha kuchotea maji kwenye ziwa utakalo dumbukia uku umevaa chupi lakini titi likiwa wasi tiiiii

Wewe unae soma hapa tafakari chukua hatua.
Mkuu mbona unatoa siri za faragha sasa 😁😁😁😁
 
Labda anasubiri mumewe umnunulie.

Fasihi Yako ni nzuri, ila sijaelewa chupi nyingi ni nini, na hiyo sidiria ni nini?

Miaka 61 ambacho nchi imefanikiwa ni kuzidi kuwa na mgao wa umeme na maji, ndege kuvutwa na kamba, tozo Kila kukicha n.k.
Chupi itakuwa ni ma V8, na...,.
Kulihifadhi Titi ni muhimu maana ndilo limekuza watoto,
 
Back
Top Bottom