Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
- Thread starter
- #21
Nichukue nini?Acha UZANDIKI kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichukue nini?Acha UZANDIKI kijana.
Mramba alikataa kujiuzuru na kweli alipeta hadi mwisho.Nasema mwanzo mwanzoni kuwa mimi ni Mwanasheria na Wakili Msomi. Najua kuwa kutuhumiwa na kushtakiwa si kukutwa na hatia. Kila mshtakiwa si mwenye hatia hadi mahakama itamke hivyo. Mambo hayo,kama moja ya haki za msingi za binaadamu,nayajua na kuyaheshimu.
Rais wa TFF,Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu wake Mwesigwa wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka ya jinai mbalimbali yakiwemo ya kutakatisha fedha. Kabla ya hapo,Malinzi alikuwa moja ya waliochukua fomu za kugombea tena Urais wa TFF.
Ili kupunguza mzigo wa mambo na kukubali yaliyompata kimaisha,namshauri Jamal Malinzi ajiuzulu Urais wa TFF ili apate nafasi ya kumalizana na Jamhuri kwenye kesi yake ya jinai. Kuendelea kuwa Rais wa TFF akiwa mshtakiwa kunaweza kutafsirika kama kung'ang'ania kichaka chake cha 'kupiga dili'.
Kujiuzulu,pamoja na kupunguza mzigo,kutamfanya Malinzi awajibike ipasavyo kwa yaliyompata na kukubali kilichomkumba kimaisha. Hakuna haja ya Mshtakiwa kuendelea kuwa Rais wa TFF au hata kujadiliwa kama mgombea mtarajiwa wa Urais wa TFF. Apambane kwanza na jinai yake.Kujiuzulu,wakati mwingine,huilinda punje ya heshima iliyobaki!
Kamuulize mungu wako Tundu Lisu!Nichukue nini?
Kamuulize mungu wako Tundu Lisu!
Uzuri ni kwamba FIFA wanaona kuliko hata TAKUKURU , Simtaki Malinzi na nimeongoza kampeni humu jf ya kumng'oa , LAKINI KAMA KWENYE KESI HII KUNA UZUSHI , WALAANIWE WOTE WALIOTUNGA UOVU HUU , na ni Uhakika FIFA WATATUTANDIKA VIBAYA SANA !Nami namshauri aachie ngazi atashangaa mambo mengi kwenye ile kesi yatapungua nguvu!! Hata dhamana atapatiwa......akubali yaishe aachie ngazi FIFA hata wakija hawezi kumbadilishia ile charge sheet! Na kwa awamu hii wako tayari tufungiwe hata miaka 5 ila Ile kesi ipo pale pale!!!
Safi sana ukiwa mtu unayependa haki hukubaliani na figusi za namna hyo hata Mimi simtaki ila tumtoe kwa njia nyingineUzuri ni kwamba FIFA wanaona kuliko hata TAKUKURU , Simtaki Malinzi na nimeongoza kampeni humu jf ya kumng'oa , LAKINI KAMA KWENYE KESI HII KUNA UZUSHI , WALAANIWE WOTE WALIOTUNGA UOVU HUU , na ni Uhakika FIFA WATATUTANDIKA VIBAYA SANA !
Ninakushauri uishauri jamhuri iache mara moja kuingilia TFF uhuru wake wa kuchagua viongozi wakeNasema mwanzo mwanzoni kuwa mimi ni Mwanasheria na Wakili Msomi. Najua kuwa kutuhumiwa na kushtakiwa si kukutwa na hatia. Kila mshtakiwa si mwenye hatia hadi mahakama itamke hivyo. Mambo hayo,kama moja ya haki za msingi za binaadamu,nayajua na kuyaheshimu.
Rais wa TFF,Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu wake Mwesigwa wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka ya jinai mbalimbali yakiwemo ya kutakatisha fedha. Kabla ya hapo,Malinzi alikuwa moja ya waliochukua fomu za kugombea tena Urais wa TFF.
Ili kupunguza mzigo wa mambo na kukubali yaliyompata kimaisha,namshauri Jamal Malinzi ajiuzulu Urais wa TFF ili apate nafasi ya kumalizana na Jamhuri kwenye kesi yake ya jinai. Kuendelea kuwa Rais wa TFF akiwa mshtakiwa kunaweza kutafsirika kama kung'ang'ania kichaka chake cha 'kupiga dili'.
Kujiuzulu,pamoja na kupunguza mzigo,kutamfanya Malinzi awajibike ipasavyo kwa yaliyompata na kukubali kilichomkumba kimaisha. Hakuna haja ya Mshtakiwa kuendelea kuwa Rais wa TFF au hata kujadiliwa kama mgombea mtarajiwa wa Urais wa TFF. Apambane kwanza na jinai yake.Kujiuzulu,wakati mwingine,huilinda punje ya heshima iliyobaki!
Jinai ni mambo ya TFF?Ninakushauri uishauri jamhuri iache mara moja kuingilia TFF uhuru wake wa kuchagua viongozi wake
Akaanze maisha mapya huko MTO NGONOAkijiuzuru ataishije????
Asante mkuuTatizosio malinzi tatizomakundi'ndani ya sssm