Namshauri Malinzi ajiuzulu Urais wa TFF ili amalizane na Jamhuri

Mramba alikataa kujiuzuru na kweli alipeta hadi mwisho.
Msuya alikataa na kusema labda aliyemteua amfukuze na baadaye akapewa kuwa waziri mkuu

Malinzi atang'angania hadi mwisho wa kesi. sisi ni wapuuzi tu!
 
Swali kubwa kwangu ninalojiuliza, ni hili.....

Kwa nini hii ishu iibuke wakati wakitaka kuingia kwenye uchaguzi ?

I doubt, kuwa..... these are Just politics of elections !!

Hakuna sababu ya kuachia ngazi kwani inawezekana 100% kuwa hii ni kesi ya kutengenezwa tu ili kumuondoa mtu ktk reli ya kutetea kiti chake cha uongozi/urais wa TFF....!!!
 
Uzuri ni kwamba FIFA wanaona kuliko hata TAKUKURU , Simtaki Malinzi na nimeongoza kampeni humu jf ya kumng'oa , LAKINI KAMA KWENYE KESI HII KUNA UZUSHI , WALAANIWE WOTE WALIOTUNGA UOVU HUU , na ni Uhakika FIFA WATATUTANDIKA VIBAYA SANA !
 
Uzuri ni kwamba FIFA wanaona kuliko hata TAKUKURU , Simtaki Malinzi na nimeongoza kampeni humu jf ya kumng'oa , LAKINI KAMA KWENYE KESI HII KUNA UZUSHI , WALAANIWE WOTE WALIOTUNGA UOVU HUU , na ni Uhakika FIFA WATATUTANDIKA VIBAYA SANA !
Safi sana ukiwa mtu unayependa haki hukubaliani na figusi za namna hyo hata Mimi simtaki ila tumtoe kwa njia nyingine
 
Ninakushauri uishauri jamhuri iache mara moja kuingilia TFF uhuru wake wa kuchagua viongozi wake
 
Kwahyo EL, chenge, rostam, and Co sio mafisadi? Maana mahakama haijawahi tamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…