I wish apite hapa ajionee .to be honest havutii
mumy ivi ata wewe unaingia kwenye mtego wa kumjadili mtu eti kisa mwili wake?
na ilo ni kosa kubwa sana, yaani kumjadili celebrity kwa sababu ya mwili wake sijui ni nini ni makosa sana ebu mjadilin kwa matendo yake huu ni ujinga sanaHahaa
My dia .. inawezekana nimetegeka kwasababu yeye ni celebrit fulani hivi.
But zaidi ni kwasababu kuna katabia kakuiga iga sana lolz.. tutaanza kuwaiga tuishie kuugua bure tukidhani huo ndio urembo
ivi sasa hii sio personal attack??
wewe maisha yake sijui mwili wake unakuhusu nini?m of all the things unataka hapa tuanze kujadili mtu?? ivi ni kwamba hata huyo mwandish wa habari alouwawa na islamic commando hajakugusa tumjadili yye?
simpo mind discuss pipo uwe na nidhamu omba mods wautoe huu uzi sio mahali pake...................hatuk0o hapa kujadili watu na miili yao suppose anaumwa kitu wewe usichokijua will you be fair on it? ama ni aina ya mwili wake je?
mbona basi usilete tuujadili mwili wako ambao unaujua vizuri tuujadili?
MODS FUTA HUU UZI
If u're public figure Automatically you loose some of ur privacy, Ulitaka uzungumziwe ww??
Wasichana wa bongo, keep your bodies na afya nzuri. Mumemuona Salama Msangi anavyo onekana, sio afya jamani. Jikubali na maumbile alio kupa mwenyezi. Lazima mtu ajikondeshe kiasi hicho kweli kama sio kujitakia matatizo kiafya jamani? Kwani kukonda ni dili kweli wana jamvi? Tujadili hapa na kutoa ushauli kwa dada zetu, wanajiumiza mno.