Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muongozo upi?Mleta mada fuata miongozo...
Mkuu kumbe unamfuatilia sana article zake ,ni kweli kabisa ana bombastick nyingi kuliko kwenye oral of which ni nzuri kuliko kama angefanya kinyume chake kwa sababu katika oral anaamini unaweza pata muda wa kupitia kamusi hahhaaTanzania kinapatikana bookshops hiki? Nitizame hizo bombastics alizotumia maana jamaa anazipenda sana katika maandiko yake japokuwa hazitumii sana kwenye maongezi. His writing skill is much better than his oral one, I have to admit. I just wish it matched.