Namshukuru Ex wangu kwa kuniokoa nisiunganishwe kwenye "gridi ya taifa"

Namshukuru Ex wangu kwa kuniokoa nisiunganishwe kwenye "gridi ya taifa"

Dong Jin

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2018
Posts
968
Reaction score
2,034
Wakuu kwema?

Ex wangu ni nesi katika hospitali fulani hapa mjini. Tuliachana kwa masuala ya kawaida na wala si kwa ugomvi...

Sasa leo nikiwa katika pilikapilika zangu na demu wangu mpya niliyempata wiki kama mbili zilizopita nikakutana na huyu Ex na alishtuka sana baada ya kutuona. Mimi nikajua tu itakuwa ni kwavile huyu wa sasa ni kisu kuliko yeye ndo maana kahamaki.

Muda kidogo ukaingia ujumbe kwenye simu yangu. Kucheki unatoka kwake akiniambia anaombea anachokiwaza juu yetu kiwe bado hakijafanyika na kama bado nihakikishe sifanyi chochote bila kwenda kupima au kutumia kinga.

Kwanza nikapaniki, nikataka nimjibu shit kwa kuona labda anatuonea wivu. Lakini nikakumbuka huyu ni nesi na anachosema lazima kina mantiki kiasi chake

Palepale nikamwambia manzi mpya leo inabidi tupime afya zetu ili tusex maana nina hamu ya kupata mtoto. Akanijibu kwahiyo huniamini? Kama huniamini mi na wewe ndo mwisho leo! Akaondoka na mpaka sahivi hapokei simu wala sms

Ahsante sana Ex kwa hili, maana wikiend hii ilikuwa ni mizagamuo kavukavu.
 
20241112_191640.jpg
 
Wanaume huwa hatuogopi kula manzi mpya ila tukipewa tetesi tu kwamba kaungua hata kwa Condom hatutaki tunawaza inaweza kupasuka...
Umeongea sahihi kabisa. Yaani tukipata madem tunakula vizuri tu, either kwa ndom au kavu. Lakini kama unaambiwa kawaka ndo huwezi hata kumsogelea
 
Ulitakiwa umpe hata ka tips huyo x wako kama sio hata kurudia tu,watu wa hivi wako wachache sana.
 
Ulitakiwa umpe hata ka tips huyo x wako kama sio hata kurudia tu,watu wa hivi wako wachache sana.
Ndo nimetoka kumshukuru sahv... Alikuwa anaingia shift ya usiku nikamfata hukohuko kazini kwake.

Kiukweli mdada kaungua, na muonekano wake hausadifu yaliyomo. Mtoto kaumbika na ni pisi ya kwenda, ukimuona kwa macho hana kasoro (ningewawekea picha sema nalinda heshima yake)

Kwanzia leo nimekoma kumpima mtu kwa macho
 
naingiza kichwa tu na Wala sikuchubui .... kwani hujaloa Leo ney natesti mtambo tu ...kichwa tu namwaga tu......

shukruni sikuhizi vimefubaa
 
Nipo kwenye dimbwi la mawazo kuna kona 5 6 nlipita mwezi ulopita najuta mimi kila siku nachukua SD ila moyo unasita nataka niwaite hawa niwapime wote ndo nijipime
 
Lengo la Ex limetimia, hakuna chochote hapo, alikuwa anakutaka bado na aliona wivu, Katumia mbinu kuwasambaratisha na amefanikiwa.
 
Huyo kaungua Mkuu.

Ngoja nitawapa psychological hints za jinsi ya kuwajua wenye Gridi ya Taifa.

Hata hivo Tumieni Kondom, Kama umepitiwa hakikisha unamwaga FUTA jingi(Kilainishi) , usiruhusu mwanamke awe juu yako yaan akukalie , na mwisho baada ya kumwaga shahawa, chomoa Mboo chapuchapi, kimbia chooni, Osha Mboo Kwa maji mengi.


ONYO..USITUMIE SABUNI .

Ukitaka kujua kama umepata michubuko,, baada ya kuosha mbooo, chukua Spirit , fanya kama unafuta mboooo Kwa spirit, kama una michubuko utaipata, na ikiwa ni michubuko na demu humuelewi, kameze PEP chap .
 
Nimepima zaidi ya mara 10 sikuamini mpakq pale nilipomuongezea mtu damu.

Uzinzi mbaya sana jamani bakini njia kuu
 
Back
Top Bottom