Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
So umekalia kiti cha mtu?Sorry nipo kwenye kiti cha mtu..
mkuu ni kweli hujamuelewa au? unganisha.Hujasema vizuri lakini......Kwamba Mugufuli kahusikaje.!!
Kwani anayenyoosha nchi ni nani? Tuseme humjui au?Hujasema vizuri lakini......Kwamba Mugufuli kahusikaje.!!
Unaniangusha,..undisputed champ,..hyo nafas hafai mwingneni wew tuuHahahaha mkuu umetisha
ahahaha waache tuUnaniangusha,..undisputed champ,..hyo nafas hafai mwingneni wew tuu
Ao ni mfano tuhao kina lupita wamenyoa fashion tu kama kina nancy,faraja na mrs mengi...hakuna uhusiano wowote na bwana magu...