Hivi huko serikalini hakuna hata mtu mmoja liye bakiza akili hata kidogo ya kutafakari kuwa wa Tanzania wa leo si wale wa enzi zao! hivi utalipaje campuni ambayo mmiliki wake hajulikani! je nani alikuwa anaendesha keshi inayo semekana ameshinda na serikali inapaswa kuilipa DOWANS, Hata hawa wana intelejensia wanao weza kuota vurugu zinaweza kutokea sehemu fulani, watu wakiandamana wanashindwaje kututabiria wanimmiliki wa DOWANS!, Kweli hii nchi imepata viongozi wabishi, wanaopenda kufuata ndoto ya kuwa watanzania ni wajinga hawaelewi, wakati kitu kipo wazi kabisa, hivi ni kweli mmiliki wa dowans hajulikani!, mimi naomba mkurugenzi wa usajili wa makampuni brela, ajiuzulu, kazi yake maana hawajibiki ipasavyo,kampuni kama haijasajiliwa kinashikaje tenda, ya kusambasa umeme, nyie kweli mabwege niheri mungu angewapa viwiliwili tu bila vichwa wala ubongo, au akajaza matope huko minyoo wakaishi huko. maana havina issue. mnakesha angani kama popo mnakwenda ulaya hamjifunzi kwa wenzenu wazungu! wao kiongozi akishapata kashfa anajiuzulu, ninyi mnang'ang'ania nini huo ni urithi wa babazenu? mmnaniudhi kweli, yaani ninyi mtakufa vibaya kwa laana na jasho la walipa kodi wa Tanzania, mnachuma laana na kupeleka manyumbani kwenu kuwalisha watoto wenu, vizazi vyenu ni laana tupu! jamani wana jf samahani nina hasira sana.