Mi siku nyingi najua sumaye alishashtukia CCM ya sasa dereva ni mbovu so hua anapanda kwa machale sana....ndo maana kwenye kampeni za urais hakujitokeza hata sehemu moja.
Boyz 2men walimsingizia ana hela nyingi ili tu wamchafue but hope one day ukweli utajulikana.