Abdallah M. Nassor
JF-Expert Member
- Mar 20, 2008
- 600
- 620
Niko poa kabisa mpendwa..Umemisika pia mpendwa..Hope uko poa
Kumalizana ukiwa na maana nisirudi tena ?Bro..Pasaka hii nilikuachia wewe..Hamjamalizana?
Swali hili hata ungemuuliza mwanangu asingekujibu kwakua angejua wazi kuwa we Ni ZAMWAMWAPongezi kwako mkuu.
Ila
"Nimeamini kwamba sio kila mwanamke aliye jf ni malaya au mchunaji" mwanzo uliamini hivyo????
Hilo swali siku nyingine awe makini kwenye maelezo yake anaweza peperusha ndege kizembe.Swali hili hata ungemuuliza mwanangu asingekujibu kwakua angejua wazi kuwa we Ni ZAMWAMWA
We na uyo smart mnapendana hatari kama papuchi na gegedoSmart911 wangu hana blah blah
thubutuu.. huyu akikutolea mahari mimi najirusha baharini niwe chakula cha samaki.
dogo si kiwembehapo kwa Daby na husna [emoji23] uchumba umeshakufa
mwanaume ni mwanaume tu..mineno yote hii inayo,toka hapa kwenye sosho media .. mijimaneno kama ya kungwi..afu mtu wangu unasema jamaa hana blah blah..we haya si tutaonaSmart911 wangu hana blah blah