Thibitisha kama unaakiliKwanza thibitisha Mungu yupo.
Kwanza thibitisha Mungu yupo.
Amina,ila ingependeza zaidi kama ungeenda kutoa kwa wahitaji moja kwa moja wagonjwa wasio na ndugu, wafungwa, omba omba n.kHello forums
Leo nimeamua kutoa shiling elfu 20 kwa watu wa tano kama shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kunifanyia wepesi na kuniraisishia njia ya kutimiza malengo yangu mwaka huu,malengo ambayo nilikuwa nayo kwa muda mrefu.
Maombi na sala za kila siku zimeniweka katika nafasi nzuri ya Mungu kusikiliza kilio changu na kunitimizia kile nilichomuomba.
Nami nikaona ni vyema nitoe shukrani zangu hapa na kwengine ili kumthibitishia Mungu kuwa nimemshukuru kwa kile alichonifanyia.
Kwa vile siwezi kutoa kwa kila mtu basi ni muhimu kwa watu wenye shida wanaweza kuniambia kwanini niwape hiyo elfu 20.
Ukishatoa maelezo yako,usisahau kuweka namba yako mwisho wa maelezo yako ila tu iwe namba ya voda na nitachangua watu watano tu
Mungu awabariki.
Asante
Ebu twende pm hukoNi 20elfu kwa kila mmoja au elfu4?
Mkuu hivi uko serious?Hello forums
Leo nimeamua kutoa shiling elfu 20 kwa watu wa tano kama shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kunifanyia wepesi na kuniraisishia njia ya kutimiza malengo yangu mwaka huu,malengo ambayo nilikuwa nayo kwa muda mrefu.
Maombi na sala za kila siku zimeniweka katika nafasi nzuri ya Mungu kusikiliza kilio changu na kunitimizia kile nilichomuomba.
Nami nikaona ni vyema nitoe shukrani zangu hapa na kwengine ili kumthibitishia Mungu kuwa nimemshukuru kwa kile alichonifanyia.
Kwa vile siwezi kutoa kwa kila mtu basi ni muhimu kwa watu wenye shida wanaweza kuniambia kwanini niwape hiyo elfu 20.
Ukishatoa maelezo yako,usisahau kuweka namba yako mwisho wa maelezo yako ila tu iwe namba ya voda na nitachangua watu watano tu
Mungu awabariki.
Asante
Atakuwa katoa kwa upendeleo, niko kwa wakala hadi sasa[emoji1745][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Ebu twende pm huko
Katoe sadaka kanisani/msikitini
Katoe msaada hospital/mahabusu/jela/kwa yatima
Ukishindwa sana kawape omba omba mkuu.
Hata mimi naitamani hiyo 20k ila kuna watu wana uhitaji zaidi ya kina mimi
Thank youNimeshakutumia tayari ili huamn