Namshukuru Mungu

Amina,ila ingependeza zaidi kama ungeenda kutoa kwa wahitaji moja kwa moja wagonjwa wasio na ndugu, wafungwa, omba omba n.k
 
Mkuu hivi uko serious?
 
Katoe sadaka kanisani/msikitini
Katoe msaada hospital/mahabusu/jela/kwa yatima
Ukishindwa sana kawape omba omba mkuu.

Hata mimi naitamani hiyo 20k ila kuna watu wana uhitaji zaidi ya kina mimi
 
Ebu twende pm huko
Atakuwa katoa kwa upendeleo, niko kwa wakala hadi sasa[emoji1745][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nmefanya hvyo,nkaona si mbaya hata hapa jf wapo
Amina,ila ingependeza zaidi kama ungeenda kutoa kwa wahitaji moja kwa moja wagonjwa wasio na ndugu, wafungwa, omba omba n.k
 
Kutokana na uitaji wa watu wengi imenibidi nitor kidogo kwa kila mmoja kwaiyo usishangae ukaona chini ya elf 20,na nmepakiza elf 30 tu,
 
Sijafanya hivyo nmetoa kwa yeyote alie hitaj nilimtumia
Atakuwa katoa kwa upendeleo, niko kwa wakala hadi sasa[emoji1745][emoji134][emoji134][emoji134][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hata hapa ni sehemu moja wapo,siku nyingne nitaenda sehemu nyingine sio mbaya
Katoe sadaka kanisani/msikitini
Katoe msaada hospital/mahabusu/jela/kwa yatima
Ukishindwa sana kawape omba omba mkuu.

Hata mimi naitamani hiyo 20k ila kuna watu wana uhitaji zaidi ya kina mimi
 
Unatoa na bado unataka vigezo? Ungepika tu ubwabwa ukalisha watoto wa mtaani kwako
 
Ndio,maana mm najua nawalenga wakina nani
Ubwabwa ndo napika karibu
Unatoa na bado unataka vigezo? Ungepika tu ubwabwa ukalisha watoto wa mtaani kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…